Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Ndiyo maana yake, Jumapili kuna mwingine eti anamimba nimnunulie cherehani! Yani hata sijaonja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada anaomba ninunue cherehani, kwa mtindo huo unategemea nini kama siyo kutaka kuangamiza familia! Nilikaa nikamtafakari Sasa hivi hata sms zake sijibu.
Cherehani si laki tatu tu mkuu?mnunulie🤣🤣
 
Hili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...[emoji848] Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?

Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena[emoji3166]...ee Kazi haipo ya hicho chombo.[emoji855]

Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa[emoji2955]

Muwe na siku tulivu basi, eti?
Sio kujidefence mdogo wetu, uhalisia ndio huo mwanamke ukishaaga Kambi ya udada tu unakua huna jipya, tofauti na mwanaume, mwanamke mvuto na muonekano ndio vinavyomvutia mwanaume sasa km ushazeeka muonekano huna umeginaa

Alafu kumbuka sio kila mwanaume anaefikia uzeeni ndio kwmb jogoo anakuwa hapandi nyingi, Hali hyo tu kutokea pale mhusika anapokumbwa na magonjwa km kisugar, figo nk.

Nina Babu mzaa mama mpk Leo hii ana umri ambao nkikutajia utakimbia, Ila kila kukicha anaoa mwali mpyaa na kuwazalisha vzriii mujarab.
 
Ukizeeka(ukifika miaka 35) Likei lako ni kweli bado lipo lwazo akini linakuwa halina ladha, maana litakuwa limetumika mno, limetanuka na kuwa pana tena legevu.

Ndomaana anayepata stress kwa kuchelewa ndoa ni mwanamke na siyo mwanaume. Mwanamke akifika miaka 40 au zaidi ndo uke unakuwa mkavu, ktk tendo anaumia tu, maana hormones zinazoleta utelezi zinakuwa zimepungua, hiyo ni kutokana na uzee, yaani umekuwa bibi.

Lakini mwanaume hata afike miaka 60, kama ana afya njema anadindisha vizuri tu, kwani hamsikii mabinti wanatembea na wazee, sasa kama hawadindishi wangetembea nao?
Kwahiyo To Yeye, kama umezeeka usijipe moyo we waachie mabinti tu walio sokoni kwa sasa, pengine zama zako zilishapita.

Namshukuru Mungu kuniumba mwanaume, vinginevyo ningekuwa nina stress za kuolewa
 
Nakumbuka pasaka moja enzi hizo, mama kaenda kanisani, kaniachia mboga nipike, akirudi aendelee na mapishi mengine.

Bata mtamu nyie, nikachukua kipande kimoja ili nionje, chumvi ilikuwa imekolea vyema, kawekwa tangawizi, vitunguu swaumu na pilipili manga, viungo vimemkolea.

Nikaongeza kipande cha pili, aisee kikawa kitamu kuliko cha kwanza, ninachokumbuka nilibakiza vipande vitatu tu.

Mama akarudi akiwa ameongozana na Mchungaji, Mwinjilisti na Mzee wa kanisa.
Uzuri kulikuwa na kuku bandani, akawachinjia fasta. Kichapo nilichopokea aisee, usipime, manundu mWili mzima kama nimepigwa na radi.
[emoji3]
 
Hahaha, laki tatu January inatosha kabisa kulipia mtoto 1 ada awamu ya kwanza. Hebu fikiria baada ya hapo Nini kitafata, kama siyo mtaji wa vitenge basi vitambaa.
Mkuu ukiogopa gharama baki njia kuu,micheps inahitaji matunzo
 
Ukizeeka(ukifika miaka 35) Likei lako ni kweli bado lipo lwazo akini linakuwa halina ladha, maana litakuwa limetumika mno, limetanuka na kuwa pana tena legevu.

Ndomaana anayepata stress kwa kuchelewa ndoa ni mwanamke na siyo mwanaume. Mwanamke akifika miaka 40 au zaidi ndo uke unakuwa mkavu, ktk tendo anaumia tu, maana hormones zinazoleta utelezi zinakuwa zimepungua, hiyo ni kutokana na uzee, yaani umekuwa bibi.

Lakini mwanaume hata afike miaka 60, kama ana afya njema anadindisha vizuri tu, kwani hamsikii mabinti wanatembea na wazee, sasa kama hawadindishi wangetembea nao?
Anha,kumbe?
 
Sio kujidefence mdogo wetu, uhalisia ndio huo mwanamke ukishaaga Kambi ya udada tu unakua huna jipya, tofauti na mwanaume, mwanamke mvuto na muonekano ndio vinavyomvutia mwanaume sasa km ushazeeka muonekano huna umeginaa

Alafu kumbuka sio kila mwanaume anaefikia uzeeni ndio kwmb jogoo anakuwa hapandi nyingi, Hali hyo tu kutokea pale mhusika anapokumbwa na magonjwa km kisugar, figo nk.

Nina Babu mzaa mama mpk Leo hii ana umri ambao nkikutajia utakimbia, Ila kila kukicha anaoa mwali mpyaa na kuwazalisha vzriii mujarab.
Anha,sawa mkuu
 
Hili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...🤔 Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?

Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena🧐...ee Kazi haipo ya hicho chombo.🤒

Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa🤨

Muwe na siku tulivu basi, eti?
Hawatakuja kukubali ukweli huu maana wameumia Sana mpaka ndani ya mioyo kabisa.yaani umegongelea msumari wa moto kwenye mioyo ya watu.
 
Back
Top Bottom