Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Mie !Wanipige tu kwani ndio mwisho wa maisha??? Afu hii juzi nikataka kuja na alternative wameipiga pin mazimaaa yaniii wamenikaliaje kooni 🚮🚮🚮!
Hata siogopii ! Wakinipiga tena naleft mazima 🙌🙌🙌!
Jf sio chakula useme ntakufa!

Halafu nimekua reported several times nashangaa hadi nakosa majibu walai!!
It's okay it's okay mom, Naamini hawatofanya tena🙏🙏🙏
 
Hili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...🤔 Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?

Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena🧐...ee Kazi haipo ya hicho chombo.🤒

Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa🤨

Muwe na siku tulivu basi, eti?
Wanawake sisi hatuna usemi zaid ya kuwaonea huruma wananaume
 
Shida sio kukosa mwanaume kwa upande wa mwanamke bali majukumu ndio yanayomweka mbali na mambo ya usichana. Mwanamke akishakuwa mama , mambo ya usichana kwake anayaona hayana maana hivo muda huo anautumia kufocus na majukumu ya kulea watoto. Ikifika stage ni vigumu kwa mwanamke kuanzisha mahusiano serious na wanaume wengine mbali na mume otherwise huyo mwanamke labda awe hajitambui na hatambui majukumu na nafasi yake kijamii

Ukija upande wa mwanaume yeye hana shida anaweza kuwaanzisha mahusiano na wanawake wengi hatakama yupo ndani ya ndoa kikubwa awe na uwezo wa kuwatunza hao wanawake
 
Kama Gigy money hali yake sasahivi, naona kambisa anaelekea kuchizika, maana kila mtu anaetaka kuwa nae hawamtaki, juzi katangaza kuwa anamtaka platform_Tz ametolewa nje, Gigy money ni single mother anaetaman sana kuolewa lakn hapati bahati [emoji23]
Linatia kinyaa hili lidada....Unga sio kitu kizuri kwa mwanamke
 
Shida sio kukosa mwanaume kwa upande wa mwanamke bali majukumu ndio yanayomweka mbali na mambo ya usichana. Mwanamke akishakuwa mama , mambo ya usichana kwake anayaona hayana maana hivo muda huo anautumia kufocus na majukumu ya kulea watoto. Ikifika stage ni vigumu kwa mwanamke kuanzisha mahusiano serious na wanaume wengine mbali na mume otherwise huyo mwanamke labda awe hajitambui na hatambui majukumu na nafasi yake kijamii

Ukija upande wa mwanaume yeye hana shida anaweza kuwaanzisha mahusiano na wanawake wengi hatakama yupo ndani ya ndoa kikubwa awe na uwezo wa kuwatunza hao wanawake
Ni sahihi kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom