Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trenaaa sie tukishusha ndio kabisaaaa 😁!🤣🤣🤣🤣🤣 Tulia mom....watu wamemwagika humu balaa🤭
Wakati huo dyudyu yake ikiwa haifunction sie hisia ndio zikaua zishakauka kama sio kukata kabisa mvuto ndio kabisaaaa unaisha Ndiomana Wengi wao wanatatafuta dogodogo pembeni !Wee, mwanaume anazeeka dudu haifunction ipasavyo🤭
Halafu dyudyu kufunction ni mindset tu!!Wee, mwanaume anazeeka dudu haifunction ipasavyo🤭
Shida tamaa tu hawana lolote akili inakuja kuwakaa sawa too late!Wana hata hiyo mindset kichwani sasa...wamejaa chuki tu Kwa wanawake...kwanini ngoma isilale dolo🤒
Khakhakhaa!Tundu lipo palepale....dudu imekufa🙄
Kwakweli !Watajiju...Kila mtu abebe zigo lake Kwa kweli 🤭
Nani aniblock??? Sina shobo namtu waniblock vizuri tu Mie ndio wa kuogopa sasa 🤭🙄!!!🤣🤣🤣🤣 Mi simo.... ngoja wakublock🥴
Mie treinnnaah sitakagi hekaheka za rejarejaaa acha waniblock tyuu who cares?? 😁😁!🤣🤣🤣Umekubuhu na blocks kutoka Kwa blockers umekuwa blocked university girl🥴🤭
Nimekaa kichokozi eti?
Nimesubiri kweli comment yako.Mie treinnnaah sitakagi hekaheka za rejarejaaa acha waniblock tyuu who cares?? 😁😁!
Mie !Wanipige tu kwani ndio mwisho wa maisha??? Afu hii juzi nikataka kuja na alternative wameipiga pin mazimaaa yaniii wamenikaliaje kooni 🚮🚮🚮!Nimesubiri kweli comment yako.
We bhana wee,mi nakumbuka zilifululiza blocks mpaka nikaingia beesmom... nikawa na I'd mbili lakini bado beesmom wakaenda nayo daima...baadae wakablock tena to yeye...wakaiachia.... nadhani wakajua nishakubuhu ikabidi wanifata pm wakanichana matatizo yangu ndo kujielewa sasa na kupumua na ban zao☹️ mweeh