Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Mie treinnnaah sitakagi hekaheka za rejarejaaa acha waniblock tyuu who cares?? 😁😁!
Nimesubiri kweli comment yako.
We bhana wee,mi nakumbuka zilifululiza blocks mpaka nikaingia beesmom... nikawa na I'd mbili lakini bado beesmom wakaenda nayo daima...baadae wakablock tena to yeye...wakaiachia.... nadhani wakajua nishakubuhu ikabidi wanifata pm wakanichana matatizo yangu ndo kujielewa sasa na kupumua na ban zao☹️ mweeh
 
Nimesubiri kweli comment yako.
We bhana wee,mi nakumbuka zilifululiza blocks mpaka nikaingia beesmom... nikawa na I'd mbili lakini bado beesmom wakaenda nayo daima...baadae wakablock tena to yeye...wakaiachia.... nadhani wakajua nishakubuhu ikabidi wanifata pm wakanichana matatizo yangu ndo kujielewa sasa na kupumua na ban zao☹️ mweeh
Mie !Wanipige tu kwani ndio mwisho wa maisha??? Afu hii juzi nikataka kuja na alternative wameipiga pin mazimaaa yaniii wamenikaliaje kooni 🚮🚮🚮!
Hata siogopii ! Wakinipiga tena naleft mazima 🙌🙌🙌!
Jf sio chakula useme ntakufa!

Halafu nimekua reported several times nashangaa hadi nakosa majibu walai!!
 
Back
Top Bottom