Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Hili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...🤔 Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?

Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena🧐...ee Kazi haipo ya hicho chombo.🤒

Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa🤨

Muwe na siku tulivu basi, eti?
Mkuu mimi nataka nikupe hii concept kidogo.

Unaposema mwanaume mwenye soko unamaanisha High value man

Pia unaposema mwanamke mwenye soko unawazungumzia high value women.

Kwanin soko/ value inapungua

1. women are entitled to be in that class

Mwanamke yoyote anapozaliwa kwenye planet earth kwenye galxy hii ya milky way anakuwa automaticaly kweny high value class.
Do i need to justfy this??
Unataka nianze kuhubir why ninesema hivi?

WOw! it's simple
Women wana vingi vya ku offer kuliko wanaume kwenye huu ulimwengu
Kwenye kila famili,jamii hata dola mbali mbali
Sitaki niendelee kuwapaisha naishia hapa.


2. Men fight to become high value
Hapa ndipo panapokuja matabaka na categories za wanaume.

Niwachache walio kwenye hii class

"Am not talkn about dumb rich peep"
Am talkn about real men who understand they value.

Utasikia
1.Alpha
2.Beta
3.Sigma

Niseme sokoni kwa upande wa wanaume ni vita kati ya weak and strong men
Sio bad boys na ma simp , No

Umeona ni jinsi gani mwanaume anaweza akaboost value yake

Ni simple anaweza akaamua from now on ninakwenda kuwa high value man na kweli ikawa hivyo na soko lake likawa la uhakika la milele .
Unataka ni justfy namna gani hizo vakue zinakuwaje?


Lakin je vitu gani vinamfanya mwnamke awe na soko?

Ilibidi nianze na point Hii ya kwanz kabisa.
1. Mwanamke anamhitaji mwanaume zaidi kuliko mwanaume anavyomuhitaji mwanamke
Huoni kama hii inanipa value sokoni.
 
Kuondoka sokoni kwa mwanaume ni kufariki tuu, tofauti na hapo ni moto kwa kwenda mbele, tukiwa wakweli kabisa mwanamke akisha fika miaka 40 kwenda mbele anakua havutii tena, ni wachache wanao fika umri huo alafu wakawa na mvuto angalau wa kushawishi macho tuu
Sasa akiingia kwenye 50 anakuwa mkavu sana mpaka pia maumbile yake hayapendezi hasa kwa bibi
Na joto hana ni wa barid
 
Mkuu mimi nataka nikupe hii concept kidogo.

Unaposema mwanaume mwenye soko unamaanisha High value man

Pia unaposema mwanamke mwenye soko unawazungumzia high value women.

Kwanin soko/ value inapungua

1. women are entitled to be in that class

Mwanamke yoyote anapozaliwa kwenye planet earth kwenye galxy hii ya milky way anakuwa automaticaly kweny high value class.
Do i need to justfy this??
Unataka nianze kuhubir why ninesema hivi?

WOw! it's simple
Women wana vingi vya ku offer kuliko wanaume kwenye huu ulimwengu
Kwenye kila famili,jamii hata dola mbali mbali
Sitaki niendelee kuwapaisha naishia hapa.


2. Men fight to become high value
Hapa ndipo panapokuja matabaka na categories za wanaume.

Niwachache walio kwenye hii class

"Am not talkn about dumb rich peep"
Am talkn about real men who understand they value.

Utasikia
1.Alpha
2.Beta
3.Sigma

Niseme sokoni kwa upande wa wanaume ni vita kati ya weak and strong men
Sio bad boys na ma simp , No

Umeona ni jinsi gani mwanaume anaweza akaboost value yake

Ni simple anaweza akaamua from now on ninakwenda kuwa high value man na kweli ikawa hivyo na soko lake likawa la uhakika la milele .
Unataka ni justfy namna gani hizo vakue zinakuwaje?


Lakin je vitu gani vinamfanya mwnamke awe na soko?

Ilibidi nianze na point Hii ya kwanz kabisa.
1. Mwanamke anamhitaji mwanaume zaidi kuliko mwanaume anavyomuhitaji mwanamke
Huoni kama hii inanipa value sokoni.
Aisee
 
Hili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...🤔 Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?

Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena🧐...ee Kazi haipo ya hicho chombo.🤒

Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa🤨

Muwe na siku tulivu basi, eti?
Nani alikudanganya hivyo?
 
Back
Top Bottom