mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nimeshangaa mzee wa miaka 70 anasimamia ukucha aiseeMh,uko kuvizia mtu hapa🤣🤣🤣🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeshangaa mzee wa miaka 70 anasimamia ukucha aiseeMh,uko kuvizia mtu hapa🤣🤣🤣🙌
Yule Babu sijui alikuwaga dansa?🤣🤣🤣Yaani ananata na beats ya singeli?si atakuwa anakata sana nyonga?
🤣🤣🤣🤣🤣eeeh kweli, come January mambo magumu watoto wapo grade II, V na VII lazima jamaa wakuchape vizinga!!Wa 45 -50 fresh,ila wajanja sana wanasomesha vitoto vyao English medium Wana vi mizinga vya kijanja.
Hapana mdogo wangu dada Yako nahitaji soft love tu Sasa,mikiki ya vikoba inatosha🙆kama unapenda mikiki mikiki chukua dogo wa 16-25 atakupa raha zote
Kwa hiyo ulijiuza kwa babu, maana its obvious hukuvutiwa na muonekano wa huyo babu, ulifuata hela Mama EdinaHela yake ilitumika kihalali
Kuna wengine wanavutia mkuu, Subiri uzeekeKwa hiyo ulijiuza kwa babu, maana its obvious hukuvutiwa na muonekano wa huyo babu, ulifuata hela Mama Edina
🤣🤣🤣🤣Dadamtu utakuwa bado Binti wewe...wazee kama Mimi watanielewa,umri huu tunabadilisha lifestyle sana,kuanzia vinywaji,vipodozi, mazoezi,vyakula Hadi chumbani hutakiwi kwenda mikikimikikiIla mikiki ni so sweet ujue...
Kizaramo🤣🤣🤣Kibabu hicho
Ni mtu mzima mwenzio...30s ila napenda mikikimikiki aisee🤣🤣🤣🤣Dadamtu utakuwa bado Binti wewe...wazee kama Mimi watanielewa,umri huu tunabadilisha lifestyle sana,kuanzia vinywaji,vipodozo, mazoezi,vyakula Hadi chumbani hutakiwi kwenda mikikimikiki
Nadhani sijaweka kipaumbele sana Hilo suala,nisingekosa...nilshachokaga pesa za kuzichuchumilia😅😅😅😅🤣🤣🤣Ni balaa....madon huwapati?
30s nyie bado.. pambana mdogo wangu..Ni mtu mzima mwenzio...30s ila napenda mikikimikiki aisee