Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Inategemea.

1. Wanawake wengi soko linaisha Kwa sababu ya maumbile Yao kupoteza mvuto.
Unene, michirizi, weusi wa mapaja, kulegea Kwa nyama ni miongoni mwa mambo yanayoondoa mvuto wa Mwanamke kwenye suala la ngono.

2. Wanaume ishu kubwa hapo labda ni kipato.
Lakini kwenye ishu ya uzee wanaume miili Yao imeumbwa kikakamavu hata isipotunzwa inaweza kuhimili Hali ngumu za Maisha.

Wanawake miili Yao inahitaji itunzwe muda wote na haihitaji makazi magumu magumu ili angalau idumu Kwa muda mrefu.

Kwenye uhalisia WA kiafrika, Mwanamke soko lake linapotoea mapema Kwa sababu ya Kazi ngumu, lishe Duni na Elimu ndogo ya kutunza miili Yao.

Sio ajabu Mwanamke mwenye miaka 35 tuu ambapo ni mdogo kabisa inaonekana ni aibu akivaa vinguo vifupi Kutokana na mambo yatakayoonekana ni ya kumdhalilisha badala ya kumpa fahari
 
Inategemea.

1. Wanawake wengi soko linaisha Kwa sababu ya maumbile Yao kupoteza mvuto.
Unene, michirizi, weusi wa mapaja, kulegea Kwa nyama ni miongoni mwa mambo yanayoondoa mvuto wa Mwanamke kwenye suala la ngono.

2. Wanaume ishu kubwa hapo labda ni kipato.
Lakini kwenye ishu ya uzee wanaume miili Yao imeumbwa kikakamavu hata isipotunzwa inaweza kuhimili Hali ngumu za Maisha.

Wanawake miili Yao inahitaji itunzwe muda wote na haihitaji makazi magumu magumu ili angalau idumu Kwa muda mrefu.

Kwenye uhalisia WA kiafrika, Mwanamke soko lake linapotoea mapema Kwa sababu ya Kazi ngumu, lishe Duni na Elimu ndogo ya kutunza miili Yao.

Sio ajabu Mwanamke mwenye miaka 35 tuu ambapo ni mdogo kabisa inaonekana ni aibu akivaa vinguo vifupi Kutokana na mambo yatakayoonekana ni ya kumdhalilisha badala ya kumpa fahari
Ni kweli kabisa mkuu
 
Kuna vitu vinachekesha na kushangaza sana yaani mimi nifike 40 niwe financially stable, healthy, strong.

Alafu nitongoze videmu vya chuo vya kipindi hicho unategemea watanikataa 🙂🙂🙂.

No way mtoa mada kuna 2

1.huna exposure
2. Ww ni singo maza huna soko na umri umeenda.

Pole yako mada yako ina uongo sana.

N.b jiulize kwann wanaume wengi above 40+ wanapendwa sana na wanawake wadogo?
 
Kuna vitu vinachekesha na kushangaza sana yaani mimi nifike 40 niwe financially stable, healthy, strong.

Alafu nitongoze videmu vya chuo vya kipindi hicho unategemea watanikataa 🙂🙂🙂.

No way mtoa mada kuna 2

1.huna exposure
2. Ww ni singo maza huna soko na umri umeenda.

Pole yako mada yako ina uongo sana.

N.b jiulize kwann wanaume wengi above 40+ wanapendwa sana na wanawake wadogo?
Onho, Sawasawa mkuu😊
 
Back
Top Bottom