Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhNasikia mwanamke akifika ukomo wa kuona siku zake anakuwa na libido Kali zaidi yaani anataka muda wote...
Funga uziNingechagua buku ten aisee🤒
Watu waruke na hiyo papsiAcha kujifariji kama hujaolewa weka namba acha mambo mengi
To yeye unatutia hofu sie tunaokaribia 60 haaa haaaa,60 tutasaidiwa tusife njee ngoja nimetain balance diate na mazozezi nisije aibika😳 Miaka 60 apeleke moto mkali? Weee, usiniambie 🥴 mi nijuacho miaka 60 mwanamke umsaidia mume at least asife njaa😋
Subiri kidogo tafadhaliHili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani bas hana soko tena...[emoji848] Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndo anakosa soko kadri age linapokwenda?
Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo.Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kaz tena[emoji3166]...ee Kaz haipo ya hicho chombo.[emoji855]
Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi....tuachane na zile kujidefence,tuongelee uhalisia sasa[emoji2955]
Muwe na siku tulivu bas,eti?
Umeshapata wa kuoaMwanamke akifikisha miaka 30 hana soko tena na havutii wala kutamanika kwa macho tofauti na mwanaume mwenye miaka 60.
Nb: mwanaume anazidi kuvutia kadiri umri wake unavyo sogea hapo bado To yeye hujaweka akiwa na hela .
Alafu kingine hakunaga mwanaume ndala ndefu