Cherehani si laki tatu tu mkuu?mnunulie🤣🤣Ndiyo maana yake, Jumapili kuna mwingine eti anamimba nimnunulie cherehani! Yani hata sijaonja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada anaomba ninunue cherehani, kwa mtindo huo unategemea nini kama siyo kutaka kuangamiza familia! Nilikaa nikamtafakari Sasa hivi hata sms zake sijibu.
Miaka 40 yote hiyo, mwanamke akifika miaka 30, soko hana. Mi nacheza na vibinti vya 20's tu, kwanza ndo saizi yangu.Kwani ni uwongo?? Huo ndyo uhalisia.
Mwanamke Mzee wa Miaka 40 kuendelea kwanza havutii kabisa na uwezekano wa kuzaa mdogo Sana.
Mwanaume wa Miaka 40 Bado Bado Sana
Sio kujidefence mdogo wetu, uhalisia ndio huo mwanamke ukishaaga Kambi ya udada tu unakua huna jipya, tofauti na mwanaume, mwanamke mvuto na muonekano ndio vinavyomvutia mwanaume sasa km ushazeeka muonekano huna umeginaaHili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...[emoji848] Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?
Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena[emoji3166]...ee Kazi haipo ya hicho chombo.[emoji855]
Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa[emoji2955]
Muwe na siku tulivu basi, eti?
Kwahiyo To Yeye, kama umezeeka usijipe moyo we waachie mabinti tu walio sokoni kwa sasa, pengine zama zako zilishapita.Ukizeeka(ukifika miaka 35) Likei lako ni kweli bado lipo lwazo akini linakuwa halina ladha, maana litakuwa limetumika mno, limetanuka na kuwa pana tena legevu.
Ndomaana anayepata stress kwa kuchelewa ndoa ni mwanamke na siyo mwanaume. Mwanamke akifika miaka 40 au zaidi ndo uke unakuwa mkavu, ktk tendo anaumia tu, maana hormones zinazoleta utelezi zinakuwa zimepungua, hiyo ni kutokana na uzee, yaani umekuwa bibi.
Lakini mwanaume hata afike miaka 60, kama ana afya njema anadindisha vizuri tu, kwani hamsikii mabinti wanatembea na wazee, sasa kama hawadindishi wangetembea nao?
[emoji3]Nakumbuka pasaka moja enzi hizo, mama kaenda kanisani, kaniachia mboga nipike, akirudi aendelee na mapishi mengine.
Bata mtamu nyie, nikachukua kipande kimoja ili nionje, chumvi ilikuwa imekolea vyema, kawekwa tangawizi, vitunguu swaumu na pilipili manga, viungo vimemkolea.
Nikaongeza kipande cha pili, aisee kikawa kitamu kuliko cha kwanza, ninachokumbuka nilibakiza vipande vitatu tu.
Mama akarudi akiwa ameongozana na Mchungaji, Mwinjilisti na Mzee wa kanisa.
Uzuri kulikuwa na kuku bandani, akawachinjia fasta. Kichapo nilichopokea aisee, usipime, manundu mWili mzima kama nimepigwa na radi.
Mimi hata ingekuwa buku, ningechagua buku tu.Ungekua mwanaume
Mwanamke na elfu kumi kwa sasa ungechagua nini
kumbuka hio elfu kumi unapata wanawake hadi watatu
Ungekua mwanaume
Mwanamke na elfu kumi kwa sasa ungechagua nini
kumbuka hio elfu kumi unapata wanawake hadi watatu
Kumbe we ni mnyakyusa.Naloli🥴
Siyo kweli.Nasikia mwanamke akifika ukomo wa kuona siku zake anakuwa na libido Kali zaidi yaani anataka muda wote...
Hahaha, laki tatu January inatosha kabisa kulipia mtoto 1 ada awamu ya kwanza. Hebu fikiria baada ya hapo Nini kitafata, kama siyo mtaji wa vitenge basi vitambaa.Cherehani si laki tatu tu mkuu?mnunulie[emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa naingojea comment yako, ningeikosa ningekutagg 😀🤣😂🤣😂🤣😂Trenaaa sie tukishusha ndio kabisaaaa 😁!
Mwanaume hazeeki!
Mkuu ukiogopa gharama baki njia kuu,micheps inahitaji matunzoHahaha, laki tatu January inatosha kabisa kulipia mtoto 1 ada awamu ya kwanza. Hebu fikiria baada ya hapo Nini kitafata, kama siyo mtaji wa vitenge basi vitambaa.
Japo unatuponda 😂Nilikuwa naingojea comment yako, ningeikosa ningekutagg 😀🤣😂🤣😂🤣😂
We nae umekutana na mzee gani huko asiyedindisha, maana umeshikilia bango mno, sijui dudu limelala dolo, sijui nini, funguka, umekutana na nini huko?🤣😂🤣🤣🤣Ikilala doloo🤭
hata sasaMimi pia,ndoa lini?
Anha,kumbe?Ukizeeka(ukifika miaka 35) Likei lako ni kweli bado lipo lwazo akini linakuwa halina ladha, maana litakuwa limetumika mno, limetanuka na kuwa pana tena legevu.
Ndomaana anayepata stress kwa kuchelewa ndoa ni mwanamke na siyo mwanaume. Mwanamke akifika miaka 40 au zaidi ndo uke unakuwa mkavu, ktk tendo anaumia tu, maana hormones zinazoleta utelezi zinakuwa zimepungua, hiyo ni kutokana na uzee, yaani umekuwa bibi.
Lakini mwanaume hata afike miaka 60, kama ana afya njema anadindisha vizuri tu, kwani hamsikii mabinti wanatembea na wazee, sasa kama hawadindishi wangetembea nao?
Anha,sawa mkuuSio kujidefence mdogo wetu, uhalisia ndio huo mwanamke ukishaaga Kambi ya udada tu unakua huna jipya, tofauti na mwanaume, mwanamke mvuto na muonekano ndio vinavyomvutia mwanaume sasa km ushazeeka muonekano huna umeginaa
Alafu kumbuka sio kila mwanaume anaefikia uzeeni ndio kwmb jogoo anakuwa hapandi nyingi, Hali hyo tu kutokea pale mhusika anapokumbwa na magonjwa km kisugar, figo nk.
Nina Babu mzaa mama mpk Leo hii ana umri ambao nkikutajia utakimbia, Ila kila kukicha anaoa mwali mpyaa na kuwazalisha vzriii mujarab.
Hawatakuja kukubali ukweli huu maana wameumia Sana mpaka ndani ya mioyo kabisa.yaani umegongelea msumari wa moto kwenye mioyo ya watu.Hili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...🤔 Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?
Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena🧐...ee Kazi haipo ya hicho chombo.🤒
Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa🤨
Muwe na siku tulivu basi, eti?