Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Onhoo,kumbe?
 
Naufunga Uzi huu rasmi. Wadada tuwena heshma kwa mwanaume. Watatupemfa, tabia za kupeleka ubishi Kwa mwanaume ujuaji, kujifanya tunakomaa nap,, wanauachilia mbali. Hata nikiwa mrembo kias Gani tabia ya kike kike ndio Kila kitu
Umeongea. Unyenyekevu
 
Uchambuzi mzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…