Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Attachments

  • Screenshot_20230918-063821.png
    35 KB · Views: 2
Kama wewe ni mwanaume utakua LGBTQ

I am sorry lakini ukweli ni kwamba Mwanaume hazeeki, labda awe na magonjwa kama ambavyo pia mwanamke anaweza kua na magonjwa
 
Haya,research ulifanya lini???
Njoo na sample zako na details
Ni simple research, sina maandishi, lakini hata ukiifanya kiprofessional utakuta hivyo, kwasababu karibu kila mwanaume ukimuuliza anaangukia humo. We uliza wanaume uone.

Au hata wewe ukitombw, huoni bao la kwanza ndo linawahi halafu mengine yanachelewaga.
 
Yaani umeongea busara sana, badala alee wajukuu zake, anahangaika na vijana wabichi humu anatafuta nini, huu ni muda wake wa kuandika woaia.
 
Yaani umeongea busara sana, badala alee wajukuu zake, anahangaika na vijana wabichi humu anatafuta nini, huu ni muda wake wa kuandika woaia.
Kuandika wosia.
 
🤣🤣Haya mkuje mtuambie
Tena wengine vijana ila mtu gi haupandi🏃🏃🏃🏃
 
Weee mama pasta weee mtungi haupandi na ni vijana??!!!🤔🤔! Hatari nanusuuuu hio!
Kweli hapa navyokwambia Kuna mkaka jmn mke amehangaika Kwa waganga weee,ss imebidi aje kwenye maombi,Hali ni Tete ,miezi 6 ss...
Ila alikuwa mzima tu sijui nn kimetokea🤔
 
Kweli hapa navyokwambia Kuna mkaka jmn mke amehangaika Kwa waganga weee,ss imebidi aje kwenye maombi,Hali ni Tete ,miezi 6 ss...
Ila alikuwa mzima tu sijui nn kimetokea🤔
Duhh!! Mpe pole sana atakua kayavagaa ya kuyavagaaa huko wakamsoma kwenye rada!!

Inahuzunisha na kutia huruma sana mama pastaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…