Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Zari ameanza kuzaa mapema sana.. mimba yake ya kwanza kaipata akiwa mdogo sana.. teanage age

Watoto wake aliozaa na ivan ni wakubwa sana above 20s.

Narudia tena hoja yangu Mwanamke wa miaka 35 ama 40 kupata mimba yake ya kwanza ni kwa mbinde
Kabisa Mzee na hata mtoto akizaliwa unashangaa Hana akili
 
Naufunga Uzi huu rasmi. Wadada tuwena heshma kwa mwanaume. Watatupemfa, tabia za kupeleka ubishi Kwa mwanaume ujuaji, kujifanya tunakomaa nap,, wanauachilia mbali. Hata nikiwa mrembo kias Gani tabia ya kike kike ndio Kila kitu
 
Hili suala la kuaminishwa kuwa mwanamke akifika age Fulani basi hana soko tena...🤔 Hivi hamuoni kuwa mwanaume ndio anakosa soko kadri age linapokwenda?

Maana ukiangalia mwanamke mpaka anakuwa Mzee na kuzikwa lile tundu linakuwa on and available anytime na mwanaume akiweka chombo Lazima afike mshindo. Sasa nyie kina Sadiki ndala ndefu mkishaanza kuuacha ujana ngoma nayo inalala dolo.... mpaka hapo huna Kazi tena🧐...ee Kazi haipo ya hicho chombo.🤒

Eti wanawake na wanaume hili mnalionaje kiundani zaidi.... tuachane na zile kujidefence, tuongelee uhalisia sasa🤨

Muwe na siku tulivu basi, eti?


Nyege zinakusumbua.
 
Naona mjadala umekuwa wa moto kweli.........

Ngoja niwaibie Siri vijana wangu au watoto wangu na wengine wajukuu zangu........

Mwanaume anaathiriwa sana na mtindo wake wa maisha....... mitindo ya maisha ya mwanaume inaacha athari kubwa sana kwenye mwili wa mwanaume.......ukiwa na health lifestyle utaufurahia uanamume wako kama Mungu akikupa uhai mrefu mpaka uzeeni huko......na kama ukiishi maisha mabaya ya anasa utaanza kuyajutia maisha yako hata kabla ya uzee au hata usiufikie uzee.........

Mwanamke hali yake ya mwili na maumbile yake vinaathiriwa na mabadiliko na vichocheo vya kimwili kwa lugha nyepesi mwili wa mwanamke na mfumo wake wa ufanyaji kazi vinamuamulia muda Gani azeeke au awe Binti.......na speed inakuwa kubwa zaidi kwa jinsi anavyobeba mimba na msongo wa mawazo Kwa hiyo mwanamke anawahi kuzeeka kuliko mwanaume kuanzia muonekano mpaka maumbile........

Upande wa sexy life
Kwa kadri umri unavyokwenda ndio mindset yako inabadilika kuhusu sexy na namna unavyoiendea...... vijana wadogo wanaamini sana kwenye physical sexy kwa sababu ya mihemko Yao kuwa juu muda wote hivyo kushindwa kujizuia........kwa sisi watu wazima tunaamini sana kwenye foreplay sana and cuddles kwa muda mrefu na physical kidogo mpaka wote mnaridhika.......Sanaa ya sexy inataka foreplay za muda mrefu na physical kidogo sana ndio maana lesbians wanakuwa na strong relationship kuliko mnaotiana........

Hormones za mwanamke zina decrine with time hata kwa upande wa mwanaume ni hivyo pia lakini anaweza aka reverse kwa kubadilisha mfumo wa maisha na kufanya mazoezi..........

Wanaume wengi kama hawana zile alama common za utu uzima kama vile mvi na upara ni vigumu kukadiria umri wao kwa muonekano kama alijitunza vizuri......ila kwa wanawake unaweza kumkadiria miaka mingi sana kwa muonekano wake ni wachache sana wenye kuonekana wadogo...........

Uchumi pia unachangia sana kumuangusha mwanamume kwa kuwa matatizo Sugu ya kiuchumi hayakuathiri tu mifukoni bali mpaka kisaikolojia na mwanaume saikolojia yake inaathiri karibia mfumo mzima wa maisha yake........

Mwanaume ukijiweka mbali na pombe, sigara na mihadarati mingine huku ukihangaisha na shughuli zinazouweka mwili wako active kidogo na vyakula bora utaishi miaka mingi ya nguvu na furaha kubwa sana

Mwanamke pia ukijitunza vizuri na ukadhibiti mwili wako huku ujiweka mbali na stress na tamaa juu ya mambo yaliyo nje ya uwezo wako pia unaishi miaka mingi ya furaha na amani.....


Takwimu zinaonyesha kuwa wanaume ndio tunaongoza kufa na magonjwa yasiyoambukiza kutokana na lifestyle zetu mbaya......hata kwenye jamii kumkuta mwanamke mlevi sio rahisi kama kumkuta mwanaume mlevi


NB;
Mwanamke mwili wake unatangulia na umri unakuja nyuma....lakini mwanaume umri unatangulia na mwili unakuja nyuma..........
Hii ni zaidi ya comment hili ni darasa mkuu [emoji109][emoji109] big up saaana
 
Ingekuwa hivyo kusingekuwa na Dawa za kuondoa hiyo michirizi ambayo inatafutwa Kwa udi na uvumba.

Inaonekana bado kwenye Game bado mgeni Mkuu. Endelea endelea kidogo utanielewa
Mzee mi kwenye game huu mwaka wa ishirini sio mgeni kabisa nadhani tuseme ni kipenda roho tu
Ndo maana kuna watu wengine wanajikondesha,na wakati huo huo kuna wengine hawataki hao wembamba wanataka wanene
 
Nimepita pita weee mwishowe yamenishinda acha niseme machache

Mwanaume hupata stimulation kutokana na body (appearance) ya mwanamke hasa akiona zile sehemu muhimu zinazohusisha sex, mwanaume ni nadra kusimamisha mbele ya mbibi ambaye tayari ana mapengo na ngozi imenyauka si rahisi labda ana shida ya muda. Na ndio mwanaume anatakiwa awe tayari kihisia ili tendo lifanyike kwa maana bila mwanaume kusimamisha ni kazi bure

Ila kwa mwanamke ni tofauti kidogo, ni wachache hupata hisia kwa kuona body au sehemu ya siri ya mwanaume bali wao hupata kwa kuandaliwa na ndio maana mwanaume huchagua mke.
 
Back
Top Bottom