Tujadili: Nini kinajenga mashaka kwa Rais Samia?

Tujadili: Nini kinajenga mashaka kwa Rais Samia?

Mimi namuomba tundulisu atusaidie kupush huyu maza anunue madawati watoto wanakaa chini karne ya 22.ni aibuu kwa watz wote tunakubali CCM kutesa watoto.
 
Hakufuata Utaratibu, Mila, Desturi Za CCM. Amekiuka Katiba Ya Nchi Na CCM Hakuna Uwazi Wowote.
 
Sarakasi zilizotokea kwenye kumpitisha Samia kuwa mgombea wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ni za kutia aibu kubwa sana.
Lakini nimekuwa najiuliza nini hasa sababu ya CCM kumpitisha bibi harusi huyu mlango wa nyuma? Kwa nini haiwezekani fomu zikatolewa kwa wote wenye nia na kupigiwa kura? Nini sababu ya wao kufanya hivyo. Katika majukwaa inatajwa Samia kufanya makubwa katika utawala wake. Si hayo makubwa yataleta kura za bwerere kabisa?

Nje ya hapo kumekuwa na mambo mengi ya hovyo kabisa kulazimisha kila kitu kiwe cha Samia. Mabango kila mahali, huwezi kufanya sherehe ya kiserikali bila bango la Samia, ajabu mpaka kwenye muhimili wa Mahakama sherehe zao zina mabango ya Samia......Sijui Samia Cup, Samia Urembo, Ndondi Vitasa vya Samia, Goli la Mama Samia, kila kitu kila mahali Samia.

Najiuliza kama mtu umefanya kazi vizuri ikaonekana, haya yote ya nini? Kwa nini unahangaika kiasi hiki kama KUKU MTETEA ANATAKA KUTAGA?
Rais Samia amepaata urais kwa bahati sana. Alichokosea kujiona amekubalika kwa makelele ya machawa. Angetulia na kuusomaa mchezo na kujua nini wtz wanataka sasahivi angepita kiraisi sana. Sio ule uhuni uliofanyika Dodoma. Ndani ya CCM kuna fukuto linalosubili kulipuka
 
Rais Samia amepaata urais kwa bahati sana. Alichokosea kujiona amekubaloka kwa makelele ya machawa. Angetulia na kjusomaa mchezo na kujua nini wtz wanataka sasahivi angepita kiraisi sana. Sio jle uhuni uliofanyika Dodoma. Ndani ya CCM kuna fukuto linalosubili kulipuka
Hakuna mwenye ubavu wa kumtingisha Mwenyekiti ambaye pia ni Rais wa Nchi !
Msidanganyike !
Hata hao CCM wenyewe wanalijua hilo !
 
Hapakuwa na hayo maandalizi msiba ndio ulimpa hiyo nafasi kwa busara alipaswa fanya kama Makamu wake. Hilo tu
Sarakasi zilizotokea kwenye kumpitisha Samia kuwa mgombea wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ni za kutia aibu kubwa sana.
Lakini nimekuwa najiuliza nini hasa sababu ya CCM kumpitisha bibi harusi huyu mlango wa nyuma? Kwa nini haiwezekani fomu zikatolewa kwa wote wenye nia na kupigiwa kura? Nini sababu ya wao kufanya hivyo. Katika majukwaa inatajwa Samia kufanya makubwa katika utawala wake. Si hayo makubwa yataleta kura za bwerere kabisa?

Nje ya hapo kumekuwa na mambo mengi ya hovyo kabisa kulazimisha kila kitu kiwe cha Samia. Mabango kila mahali, huwezi kufanya sherehe ya kiserikali bila bango la Samia, ajabu mpaka kwenye muhimili wa Mahakama sherehe zao zina mabango ya Samia......Sijui Samia Cup, Samia Urembo, Ndondi Vitasa vya Samia, Goli la Mama Samia, kila kitu kila mahali Samia.

Najiuliza kama mtu umefanya kazi vizuri ikaonekana, haya yote ya nini? Kwa nini unahangaika kiasi hiki kama KUKU MTETEA ANATAKA KUTAGA?
 
Uwezo wakufanya jambo nakulisimamia kwa udhubutu hawezi,, Ila ndani ya chama wapo wathubutu wenye uwezo MKUBWA wakumshinda yeye,,ni kama yupo kwenye kiti na kama hayupo kwenye kiti YEYE MWENYEWE HAJIAMINI,, ila pia mshauri wake mkuu ni mtu wa mchongo mchongo aliwahi kuwa RAISI,,, mi 5 tena hatuna namna ,,,
 
Sarakasi zilizotokea kwenye kumpitisha Samia kuwa mgombea wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ni za kutia aibu kubwa sana.
Lakini nimekuwa najiuliza nini hasa sababu ya CCM kumpitisha bibi harusi huyu mlango wa nyuma? Kwa nini haiwezekani fomu zikatolewa kwa wote wenye nia na kupigiwa kura? Nini sababu ya wao kufanya hivyo. Katika majukwaa inatajwa Samia kufanya makubwa katika utawala wake. Si hayo makubwa yataleta kura za bwerere kabisa?

Nje ya hapo kumekuwa na mambo mengi ya hovyo kabisa kulazimisha kila kitu kiwe cha Samia. Mabango kila mahali, huwezi kufanya sherehe ya kiserikali bila bango la Samia, ajabu mpaka kwenye muhimili wa Mahakama sherehe zao zina mabango ya Samia......Sijui Samia Cup, Samia Urembo, Ndondi Vitasa vya Samia, Goli la Mama Samia, kila kitu kila mahali Samia.

Najiuliza kama mtu umefanya kazi vizuri ikaonekana, haya yote ya nini? Kwa nini unahangaika kiasi hiki kama KUKU MTETEA ANATAKA KUTAGA?
 

Attachments

  • 5938169-3f8437b06df44d0a7c8b8e175f481762.mp4
    23 MB
Sarakasi zilizotokea kwenye kumpitisha Samia kuwa mgombea wa CCM kwenye uchaguzi Mkuu ni za kutia aibu kubwa sana.
Lakini nimekuwa najiuliza nini hasa sababu ya CCM kumpitisha bibi harusi huyu mlango wa nyuma? Kwa nini haiwezekani fomu zikatolewa kwa wote wenye nia na kupigiwa kura? Nini sababu ya wao kufanya hivyo. Katika majukwaa inatajwa Samia kufanya makubwa katika utawala wake. Si hayo makubwa yataleta kura za bwerere kabisa?

Nje ya hapo kumekuwa na mambo mengi ya hovyo kabisa kulazimisha kila kitu kiwe cha Samia. Mabango kila mahali, huwezi kufanya sherehe ya kiserikali bila bango la Samia, ajabu mpaka kwenye muhimili wa Mahakama sherehe zao zina mabango ya Samia......Sijui Samia Cup, Samia Urembo, Ndondi Vitasa vya Samia, Goli la Mama Samia, kila kitu kila mahali Samia.

Najiuliza kama mtu umefanya kazi vizuri ikaonekana, haya yote ya nini? Kwa nini unahangaika kiasi hiki kama KUKU MTETEA ANATAKA KUTAGA?
....kibaya chajitembeza
 
Juzi hapa Azam kazindua kivuko cha kwenda kigamboni. Bango limejaa picha ya maza, wanahojiwa wote shukrani kwa maza. Sikuelewa kabisa naomba kueleweshwa
Zama hizi ni vigumu kwa mtu timamu kutazama televisheni bila kuchefukwa.
 
Rais Samia amepaata urais kwa bahati sana. Alichokosea kujiona amekubalika kwa makelele ya machawa. Angetulia na kuusomaa mchezo na kujua nini wtz wanataka sasahivi angepita kiraisi sana. Sio ule uhuni uliofanyika Dodoma. Ndani ya CCM kuna fukuto linalosubili kulipuka
Hicho kitu hakipo, sahau. CCM ni ile ile. Panapo majaaliwa yake Mungu, tusubirini Oct 2025 tufanye uchaguzi na Mama ataibuka mshindi na kutangazwa Raisi. Hakuna cha fukuko wala yabisi.
 
Back
Top Bottom