Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Et Ecosystem yake

Kwaio ye anajua yuko mwenyewe dunia nzima au?

Sio kwamba Android hawawezi kwa kiasi kikubwa naweza nikasema ni Marketing strategy tu android wamewaza upande mwingine wa shilingi usije ukasema hawawezi kufanya ivyo fikiria

Interuction na vitu kama

Other Smarphones

Other Computers

n.k

Kwa Android ili halina tatizo ila kwa iOS imekua shida kwa wengi na sio haya tu mengine wadau wameyasema
 
Basi ishia hapo hapo

Tena kaa kwa kutulia

Unapo ambiwa flexibility na Freedom kwa iphone hamna ndo ujuwe ivyo unles kama na wewe unafanya niliyo yasema mwanzo normal calls and texts + Whatsap kidogo upige na picha ukapost fb.
Nimekuuliza swali, jibu swali.

Huo uhuru mnaotetea ni kwa ajili ya mambo ya kototo.

Vitu basic vinatosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MacBook is the most powerful laptop.

Ipad is the most powerful tablet.

Iphone is the most powerful smartphone.

Kuwa ndani ya "ecosystem" ni uamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bluetooth kazi yake ni kutuma nyimbo tu? myb na wewe hukunielewa my point on bluetooth was pairing haijalishi mme pair kwa lengo gani lakini iyo pairing ya iOS na other devices ni ngumu

About kushare files like mp3 ilo ni ziada tu kuna vingi vya kushare kwa bluetooth na pia bluetooth inakazi nyingi sio kutuma nyimbo tu
 
nje ya kutuma files linapokuja swala la kupare devices kwa kutumia blutooth nitajie kazi nyingine ya blutooth, kama kuplay nyimbo kwa blutooth kwenye wireless speakers iphone inafanya kama kawaida, kuprint wireless kwa blutooth ina print. Naomba nje ya hapo niambie matumizi mengine ambayo unasema kupair for yanayohitaji blutooth
 
Hakuna kama;
Iphone 11 pro max

One Plus 8 pro

Samsung galaxy s20 ultra.

Hiyo takataka ulioitaja unaijua wewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sijataja mimi wataalamu ndio wamedadavua hivyo ingia kwenye link ukosoe kwa hoja zinazoeleweka nami sitasita kukusikiliza. Maana hata mimi nilishangaa sana nikaenda YouTube kuthitisha nikakuta wako sahihi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna huawei p40 pro. Kuna xiaomi m10 pro. Kuna oppo x2 pro. Hapo iphone kwenye suala kwenye suala la picha hatii mguu.
Watu wamekariri hawataki ukweli usemwe hasa fans wa apple kila kitu wanajua bidhaa ya apple inaongoza ukiwaelimisha kwa hoja zilizoshiba wanakuambia takataka!. Inabidi uwaache hivyo hivyo maana sio lazima kuelimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bluetooth ina zaidi ya ujuavyo Mr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nakubali kaka, nina iPhone 4 naitumia kama symbian za nokia tuu. hovyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…