NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Acha kuwasingizia wananchi.Mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli anasimamishwa na wananchi kwenye misafara yake. Wananchi wanalia kwa furaha wengine wanazimia.Mbona huko mbali, waifute cdm hata leo. Wananchi walishaamka na haiwataki ccm. Hata zitumike mbinu chafu kiasi gani, lakini tumeshaamka. CCM ni chama cha kizazi kilichopita, kizazi hiki sio cha ccm tena.
Ukiona unapotea ujue ni ujinga wako mwenyewe.Tumia akili zako usipoteeLolote linawezekana na wala ctoshangazwa,kama watu wapo tayari upotee kuna kubwa zaid ya hilo?
Acha kuwasingizia wananchi.Mwenyekiti wa CCM dr Magufuli anasimamishwa na wananchi kwenye misafara yake. Wananchi wanalia kwa furaha wengine wanazimia.
Wewe nyumbu unasema nini?
Kwani Albashir, Mugabe hawakuwa na uliinzi ?kwani watanzania wakiamua kumvamia pale pamoja na walinzi waliopo watashindwa?Hata Mugabe, Idd Amin, Elbashir pia walikuwa wanaandaa hayo maigizo ya kusimamishwa na wananchi. Ninavyojua mimi kwa ule ulinzi na msafara wa vile, huwezi kusimamisha msafara wa rais bila kupanga hilo agizo, maana utaishia kupigwa risasi za hatari. Karne ya 21 bado mnatumia mbinu za kuhadaa umma kuwa msafara wa rais umesimamishwa na wananchi? Bado mnadhani watu wana mawazo ya kizee hivyo? Yaani mnaandaa propaganda kisha mnaziamini wenyewe! Hiyo inaitwa kujitekenya na kucheka wenyewe.
Ndo maana nasemaga nyinyi ni nyumbu.
Kwani Albashir,Mugabe hawakuwa na uliinzi ?kwani watanzania wakiamua kumvamia pale pamoja na walinzi waliopo watashindwa?
Uwezo wa kumvamia wanao sema hawawezi kwa kuwa wanampenda na wanamkubali Rais wao mchapakazi.
Wewe unasema nini nyumbu!!!
Mwanachama mwenzangu johnthebaptist,,Yuko obsessed Sana na Hawa chadema,,yaani Hali halali akili yote iko kwa Hawa cdm
Watu wataingia mitaani kama US wanavyofanya bila chama chochote.Mimi nadhani mngekuwa na busara mngehangaika kutatua kero za wananchi ili kuondoa fikra za mabadiliko. Leo mkiiua Chadema kesho kitaibuka chama kingine, upinzani upo kwenye mioyo ya watu na sio kwenye chama.
Ukiangalia vizuri mambo yalianza kuharibika 2015 na maumbile na akili kuanza kuchukua mwenendo mpya
Kuna ishu inayohusisha vitu viwili hapo. Kuna criminal na ishu ya chama kama sheria ya vyama vya siasa inavyosema. Kwa hiyo kuna chama kufutwa na wahusika kuburutwa mahakamani.johnthebaptist,
Fat chance!!!
Mis appropriation of public funds ni criminal na si kufuta chama.
Anayehusika inabidi anafunguliwa mashtaka.
Chama kina kosa gani?
Tuwe logical!!
Ukiona unapotea ujue ni ujinga wako mwenyewe.Tumia akili zako usipotee
Ni vema tukalielewa hili mapema wakati uchunguzi kuhusu matumizi ya ruzuku kwa vyama mbalimbali ukiendelea.
Wabunge wa Chadema wameeleza wazi kuwa matumizi ya ruzuku ndani ya chama hicho kwa muda mrefu yamekuwa ya "kienyeji" mno.
Tusisahau kuwa Mh. Komu aliwahi kuwa mtunza hazina wa Chadema na Dr. Mashinji aliwahi kuwa Katibu Mkuu.
Hivyo ikithibitika pasipo shaka kwamba ruzuku imekuwa ikiliwa na wajanja "wawili watatu" basi Msajili wa vyama ataifuta Chadema kutoka Daftari la vyama vya siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Sawa kabisa mkuu!Kuna ishu inayohusisha vitu viwili hapo. Kuna criminal na ishu ya chama kama sheria ya vyama vya siasa inavyosema. Kwa hiyo kuna chama kufutwa na wahusika kuburutwa mahakamani.