Ukitulia na Kama ulikaa darasani vizuri utakumbuka kwambaCHUKUA TAHADHALI MAPEMA DHIDI YA APHELION PHENOMENON
Kuanzia leo hii 08/07/2023, saa 5:27 asubuhi, tutapitia kipindi cha APHELION PHENOMENON, ambapo Dunia itakuwa mbali sana na jua. Hatuwezi kuona jambo hilo, lakini tunaweza kuhisi athari yake.
Hii itaendelea hadi Agosti. Tutakuwa na hali ya hewa ya baridi zaidi kuliko hali ya hewa ya baridi iliyotangulia, ambayo itaathiri mafua, kikohozi, upungufu wa pumzi, nk.
Kwa hiyo sote tuongeze kinga kwa kunywa au kuchukua vitamini nyingi na/au virutubisho ili kinga yetu iwe imara.
Umbali kutoka duniani hadi Jua ni dakika 5 za mwanga au kilomita 90,000,000. Hali ya aphelion katika kilomita 152,000,000. Asilimia 66 zaidi. Hivyo basi, hewa inakuwa ya ubaridi na athari kwenye mwili si nzuri kwa sababu haijazoea halijoto hii.
Kwa sababu hii, tudumishe hali zetu za afya ili kuwa na afya njema na hali hiyo ya hewa.
Umbali toka kwenye jua Hadi tulipo Ni 93,000,000 maili
Au 150,000,000 kilomita
Au dakika 8 speed ya mwanga.
Kabla hujaanza kubisha Google au hata Wikipedia.
Siku nyingine usilete vitu na kupest bila kuhakiki.
Sawa dogo?