Tujiandae kwa hali ya ubaridi kuanzia leo hii Julai 8, 2023

Tujiandae kwa hali ya ubaridi kuanzia leo hii Julai 8, 2023

CHUKUA TAHADHALI MAPEMA DHIDI YA APHELION PHENOMENON

Kuanzia leo hii 08/07/2023, saa 5:27 asubuhi, tutapitia kipindi cha APHELION PHENOMENON, ambapo Dunia itakuwa mbali sana na jua. Hatuwezi kuona jambo hilo, lakini tunaweza kuhisi athari yake.

Hii itaendelea hadi Agosti. Tutakuwa na hali ya hewa ya baridi zaidi kuliko hali ya hewa ya baridi iliyotangulia, ambayo itaathiri mafua, kikohozi, upungufu wa pumzi, nk.

Kwa hiyo sote tuongeze kinga kwa kunywa au kuchukua vitamini nyingi na/au virutubisho ili kinga yetu iwe imara.

Umbali kutoka duniani hadi Jua ni dakika 5 za mwanga au kilomita 90,000,000. Hali ya aphelion katika kilomita 152,000,000. Asilimia 66 zaidi. Hivyo basi, hewa inakuwa ya ubaridi na athari kwenye mwili si nzuri kwa sababu haijazoea halijoto hii.

Kwa sababu hii, tudumishe hali zetu za afya ili kuwa na afya njema na hali hiyo ya hewa.
Ukitulia na Kama ulikaa darasani vizuri utakumbuka kwamba
Umbali toka kwenye jua Hadi tulipo Ni 93,000,000 maili
Au 150,000,000 kilomita
Au dakika 8 speed ya mwanga.
Kabla hujaanza kubisha Google au hata Wikipedia.
Siku nyingine usilete vitu na kupest bila kuhakiki.
Sawa dogo?
 
CHUKUA TAHADHALI MAPEMA DHIDI YA APHELION PHENOMENON

Kuanzia leo hii 08/07/2023, saa 5:27 asubuhi, tutapitia kipindi cha APHELION PHENOMENON, ambapo Dunia itakuwa mbali sana na jua. Hatuwezi kuona jambo hilo, lakini tunaweza kuhisi athari yake.

Hii itaendelea hadi Agosti. Tutakuwa na hali ya hewa ya baridi zaidi kuliko hali ya hewa ya baridi iliyotangulia, ambayo itaathiri mafua, kikohozi, upungufu wa pumzi, nk.

Kwa hiyo sote tuongeze kinga kwa kunywa au kuchukua vitamini nyingi na/au virutubisho ili kinga yetu iwe imara.

Umbali kutoka duniani hadi Jua ni dakika 5 za mwanga au kilomita 90,000,000. Hali ya aphelion katika kilomita 152,000,000. Asilimia 66 zaidi. Hivyo basi, hewa inakuwa ya ubaridi na athari kwenye mwili si nzuri kwa sababu haijazoea halijoto hii.

Kwa sababu hii, tudumishe hali zetu za afya ili kuwa na afya njema na hali hiyo ya hewa.
Mlivyo miongomiongo mtadanganya watu kwamba CCM ndiyo imeleta hali hiyo ili watu wasifue sana nguo zao kwa kutokwa jasho.
 
Tunaomba taarifa ya sehemu wanazo experience hali ya theruji..🤔
 
UMBALI KUTOKA DUNIANI HADI KWENYE JUA NI 8 LIGHT MINUTE NA SIO 5 LIGHT MINUTE.
Asntee kwa kumrekebisha mkuu....labda kama alimaanisha kuwa hizo Tano ni perihelion na hizo 8 ni aphelion
 
Mbona Kanda ya ziwa mfano mwanza haiathiriwi na hizo Hali?huku asubuh ndo Kuna ka ubarid kidogo..ila mchana ni joto la kuzid kabisa
 
Sikupapenda kabisa na vile sinywi pombe loh sio kwa baridi lile.

Ila hoteli kali ile unalala kama upo peponi😅
Ni hotel ipi? Nashera? Hebu jifunze kunywa wine...anza na virobertsoñ...very sweet...au visaint anne..mie najiendeaga hotelin na wanangu wao wanaogelea mama yao najinywea kwa raha zangu
 
Simuelewagi mtu anayeyachukulia poa mafua. Mafua kuna watu uwa yanatusumbua sana. Full kulegea

Nashukuru hiyo kitu mafua huwa inanipitia mbali sana.
Mara kadhaa hutishia kunishika lkn hupotelea mbali. Worst case ni kupiga chafya tu.

Poleni wote mnaokumbana na hizo changamoto.
 
Back
Top Bottom