Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

S ana mkuu 🙌
 
Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Malezi ya kisasa hayo na ni ya hovyo kupata kutokea.

Hao angekuwa amekufa house girl wao aliyewalea mpaka wakafika aged 12 hakuna angekaa normal kama walivyo hapo but kwa sababu hawajawahi kuwa karibu na baba yao kwa kiasi hicho ndiyo maana wanaona kila kitu sawa tu.
 
😀😀 Mzee naona inatoka budget maalumu kabisa ya mavazi ya msibani, watu wanapigilia aisee full ma makeup kama Ile misiba ya kwenye movie za marekani
 
Lete kwao walikuwa wangapi? Alafu kama na uwezo wote huo ana watoto wawili Ina maana kapuku asizae, zaa kama unavyotaka wewe si mtu akupangie, maskini wewe wanakuhusu nini na njaa zao? Acha watu wazae wanavyotaka, wengine hiyo niadhabu wamepewa pesa wanazo na maisha bado wanayaogopa, watu ni matajiri Wana wtt wawili na na kilaki Tano chako Cha mwezi unatakiwa usizae kabisa, ????????????????????????
 
HUWEZI kunijibu,, halafu Mimi nikuruhusu uniulize swali, swali lenyewe umeuliza la kijinga watakuja kujibu wengine.
haya ngoja niseme tu

mtu hatakiwi kupangiwa idadi ya watoto wa kuzaa IKIWA anaweza kumudu gharama za maisha

japo nahisi kwa mbaali kuna kitu nakosa hapo....

hizi mada za kimaadili zinakuwaga ngumu mno
 
Kama mzee kafa kaacha mali walizwa na nn wewe
 
Si Ndiyo mimi namshangaa mleta mada kwani ndungulile ndiyo ameleta kitabu cha maisha?
 
haya ngoja niseme tu

mtu hatakiwi kupangiwa idadi ya watoto wa kuzaa IKIWA anaweza kumudu gharama za maisha

japo nahisi kwa mbaali kuna kitu nakosa hapo....

hizi mada za kimaadili zinakuwaga ngumu mno
Sasa mbona unachokisema na Mimi nilichokiandika ndio kilekile? wewe kabila gani? au muha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…