- Thread starter
- #21
Ndo ushangae hata wewe mkuu1400/22=63
Haiwezekani kwa siku binadamu atembee kilomita 63.Never!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ushangae hata wewe mkuu1400/22=63
Haiwezekani kwa siku binadamu atembee kilomita 63.Never!
Labda anajipaka santaiza 🤣Anakimbia siku zote hizo 22 bila kuoga sipati picha hiyo smell aliyofika nayo dar
AngebabukaLabda anajipaka santaiza [emoji1787]
Umbali mrefu huwezi kimbia hivyo!Mimi tu siyo mwana riadha lakin nakimbia 12kph sasa huyo jamaa ni mwanariadha anaweza kufanya zaid hiyo 5KM/H watu tunatembea siyo kukimbia
Sawa lakini ukweli unatakiwaMi nadhani ni suala la kupongeza wangekua wenzetu wanaodhamini vitu vyao huyo huyo jamaa angetegenezewa mazingira ya kuweka record either duniani au hapahapa sisi tunabeza
Umbali wa kutoka kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM
Ili ufanikiwe kutoka kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi!
Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)
Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP
Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)
Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?
Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?
Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko nyakanazi, na kupandisha mirima pasipo KUSIMAMA 12 hours Kila siku Hadi atangazwe katumia siku 22?
Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may ! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?
JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k
Mbona sayansi inagoma?
AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
Kama vipi, Olympic awakilishe Tz au vipi wasee? 😂 😂 😂Umbali wa kutoka kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM
Ili ufanikiwe kutoka kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi!
Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)
Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP
Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)
Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?
Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?
Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko nyakanazi, na kupandisha mirima pasipo KUSIMAMA 12 hours Kila siku Hadi atangazwe katumia siku 22?
Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may ! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?
JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k
Mbona sayansi inagoma?
AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
Huyu mwamba alikuwa anatuongezea stori za kupeleka siku mbele na kupunguza stress....ukimtafakari sana alikuwa anatupiga kamba
Waandishi wa habari ndo wanabe sanaHuyu mwamba alikuwa anatuongezea stori za kupeleka siku mbele na kupunguza stress....ukimtafakari sana alikuwa anatupiga kamba
Hiyo speed ya 5 km per hr ni speed ya kutemba sio kukimbiaUmbali wa kutoka kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM
Ili ufanikiwe kutoka kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi!
Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)
Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP
Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)
Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?
Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?
Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko nyakanazi, na kupandisha mirima pasipo KUSIMAMA 12 hours Kila siku Hadi atangazwe katumia siku 22?
Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may ! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?
JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k
Mbona sayansi inagoma?
AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
Aje huku tumpeleke kambi ya mazoezi, isiwe ndo show ya mara moja tu. Miguu ina hela ndefu ikiwa na kasi aisee! 🏃🏾 💷Mi nadhani ni suala la kupongeza wangekua wenzetu wanaodhamini vitu vyao huyo huyo jamaa angetegenezewa mazingira ya kuweka record either duniani au hapahapa sisi tunabeza
Juzi tu nimetembea kwa mguu kutoka keko had Serengeti breweries pale kwa dk 13 pana urefu wa km 2.6 .. nilitembea sikukimbia[emoji15][emoji15] serious mkuu
Huyo alidandia na ndinga njian kwa calculation zilizofanywa hapo juu haiwezekani kabisa mtu kukimbia 22days non Stop na bado ni out of timeAnakimbia siku zote hizo 22 bila kuoga sipati picha hiyo smell aliyofika nayo dar
Calculation zina makosa , 5 per hr hiyo n speed ya kutembea kwa mguu tena slowHuyo alidandia na ndinga njian kwa calculation zilizofanywa hapo juu haiwezekani kabisa mtu kukimbia 22days non Stop na bado ni out of time