- Thread starter
- #61
Assuming haitakiwi kuzidi Reality kwenye sayansiOngeza masaa, anaanza safari sa 11 asbh hadi saa 3 uck, ni zaidi ya masaa 14.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assuming haitakiwi kuzidi Reality kwenye sayansiOngeza masaa, anaanza safari sa 11 asbh hadi saa 3 uck, ni zaidi ya masaa 14.
Labda kuna wakati alikuwa anapaa
Kwa kutumia ile teknolojia yetu pendwa
Ova
Hii siwezi inawezekana sana nimewahi shuhudia kwa wakimbiaji kadhaa na wengine wakikimbia chini ya hapo.Hiyo km 5/lisaa ni kwa kutembea siyo kukimbia, mimi huwa natumia masaa mawl na DKK arobain kukimbia umbali wa km 42.
Wanadhani wabongo wajinga namna hiyoAlfu eti jezi zake znawekwa makumbusho[emoji28]jmn wabongoo
Sasa mtu hana kitu wamteke wa kazi gani?Alisema aliishia Moro maana aliumwa tumbo.
Sijui yale mapori yenye majambazi/kutekana huko kigoma akipitaje kwa miguu.?
Huyu jamaa inabidi awadai Tff fedha nyingi sana...haiwezekani akoswe koswe na chui nyoka kisha waahirishe mechiHivi TFF wanakati wanaleta zengwe hawakuona watu kama hawa?
Nimecheka hatari jf ni sehemu mhimu sana kwangu stoki hapa mpaka kifo kitutenganishe.Nyie Watu Mbona Wafukunyuku....? Mwacheni Mwenzenu Kashakula Laki 5 zake na Tiketi Ya ndege Juu...! Sa hizi huko aliko anapiga mluzi tu.
Kama ni mkimbiaji wa siku zote anaweza kwenda hadi 10km/hr, so hizo siku 22 ni sawa tena ni nyingiUmbali wa kutoka kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM
Ili ufanikiwe kutoka kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi!
Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)
Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP
Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)
Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?
Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?
Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko nyakanazi, na kupandisha mirima pasipo KUSIMAMA 12 hours Kila siku Hadi atangazwe katumia siku 22?
Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may ! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?
JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k
Mbona sayansi inagoma?
AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
Marathoni wenyewe Km 41 wanakwenda masaa mawili na ushee, chai hiyo[emoji15][emoji15] serious mkuu