Kram Billz nsaidie nexus 2 mkuu, kama una link yake ikiwa cracked.
Niunge 0769317428Habari..kunagroup la whatsapp kwa Audio & Music producers wote Africa.. tupia namba nkuunganishe
[HASHTAG]#picha[/HASHTAG] za ngono haziruhusiwi...
Hivi mkuu nikitaka fungus studio ya kisasa iliyokamilika.kwa kila kitu approximately inaweza cost bei gani?
Tafuta simu za zamani za Nokia kama za symbian ndio zina uwezo huo. hizi android haziwezi.Kram Billz Chief-Mkwawa naombeni mnielekeze jinsi ya kumpigia mtu simu halafu una adjust mziki naye anakuwa anausikia.
kweli aiseeh.. mambo mengi na kazi nyingi za kumixx na kugonga beat.Wadau tumepoteana humu ndani..
Tecno c5 natumia na inanipa huduma hiyo.Tafuta simu za zamani za Nokia kama za symbian ndio zina uwezo huo. hizi android haziwezi.
Android?
Sina hiyo. Ila naweza kusaidia kuipata.kweli aiseeh.. mambo mengi na kazi nyingi za kumixx na kugonga beat.
Vp una Studio1 v3?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hiyo. Ila naweza kusaidia kuipata.