Tujifunze softwares za music/audio production

Tujifunze softwares za music/audio production

nimeona baadhi yao wanatumia mixer sijajua inasaidia kwa kiasi gani
mixer ina faida nyingi moja wapo kubwa kabisa ni kupunguza noise, noise nikimaanisha sauti za pembeni ambazo hazihitajiki, kwa hiyo sauti ya mtu tu ndo inayochukuliwa kama ilivo, alafu bado sinasaidia kupunguza latency,

mtu akiwa anaimba afu sound inaingia kwenye computer ikiwa in real time yani anavoimba inasikika fasta hapohapo basi tunasema latency ni ndogo,

ila kama inasubiri hata robo sekunde manake latency yake ni robo sekunde ambayo mtu wa kawaida ataona robo sekunde ni ndogo sema ni mbaya sana inaweza ikatoa mziki mbaya sana mwisho wa siku....
 
mixer ina faida nyingi moja wapo kubwa kabisa ni kupunguza noise, noise nikimaanisha sauti za pembeni ambazo hazihitajiki, kwa hiyo sauti ya mtu tu ndo inayochukuliwa kama ilivo,

alafu bado sinasaidia kupunguza latency, mtu akiwa anaimba afu sound inaingia kwenye computer ikiwa in real time yani anavoimba inasikika fasta hapohapo basi tunasema latency ni ndogo,

ila kama inasubiri hata robo sekunde manake latency yake ni robo sekunde ambayo mtu wa kawaida ataona robo sekunde ni ndogo sema ni mbaya sana inaweza ikatoa mziki mbaya sana mwisho wa siku....

Dreson4 pia external mixer inatumika ku equalize instrumental ukiachana na vocals? na kati ya mixer na soundcard unanshauri ninunue kipi kwanza?
 
kasaloo Sound card ndio cha muhimu katika audio production.eg De Fatality kwa Mesen Selekta hakuna mixer lakini najua vizuri kuwa unafahamu nyimbo ambazo ameproduce zina kiwango gani
 
Last edited by a moderator:
kasaloo Sound card ndio cha muhimu katika audio production.eg De Fatality kwa Mesen Selekta hakuna mixer lakini najua vizuri kuwa unafahamu nyimbo ambazo ameproduce zina kiwango gani

Itabidi niwatembelee Defatality mko vizuri.
 
Nilikua natest test kupiga beat ya kiafrika matokeo yake nkatoka na hichokitu sijui nidogori ama nini....

Bado sijaimaster

DOWNLOAD DOGORI

Download DOGORI.mp3
 
magnifico,

Mkuu...bongo flavour ni kama zouk versio, ukiwa na mazoezi mazuri ya kinanda ni rahisi kuumudu kwa sababu unahitaji more practical tofauti na mziki wa kupanga ila kama unatumia mid keyboard.

Unaweza ukajaribu pia, mimi mara nyingi natumia kinanda baada ya kuachana na studio mwaka 2013
 
Last edited by a moderator:
Habari wakuu, Nina kila kitu kinachohusiana na music production lakini Sielewi chochote katika kutengeneza! Nani mtaalamu mzuri Nitajifunza kwa muda mfupi na kujua? Kwa Sasa nafanya Video Production.
 
Habari wakuu, Nina kila kitu kinachohusiana na music production lakini Sielewi chochote katika kutengeneza! Nani mtaalamu mzuri Nitajifunza kwa muda mfupi na kujua? Kwa Sasa nafanya Video Production.

Upo pande zipi, mimi nadhani mziki ni idea tu kama unayo basi sawa tumia hizo software zilizoorodheshwa na wakuu wangu hapo juu, mimi huwa natumia fruit loops na protools
 
Producers wenzangu mupo? kimya kingi au projects zinabana.
 
nimevutiwa na huu uzi..... mimi napenda hardcore rap/ hip hop... so napenda bit ngumu sana... nani anaweza kunifanyia hiyo bit then tuongee
 
Back
Top Bottom