Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki

Kaka kinapatikana wapi hiko kitabu
 
Kama Mapinduzi Yangefanikiwa Tungekula Bata Hadi Leo Kambona Alikuwa Kichwa Mbayaaa!!
 
Mengi yameongelewa kwenye uzi huu, lakini swala la udini linatoka wapi watanzania wenzangu. Hivi hatuwezi kujadili maada bila kuweka udini? nifikiri ni wakati sasa watanzania tufikiri na tufanye mambo yetu kama watanzania na si kama waislamu na wakristo. Mbona ulaya na marekani katika utaifa wao hakuna udini? suala la dini linabaki kuwa issue ya mtu binafsi

Tujiulize, kwa utaratibu huu tunajenga tanzania ipi kwa miaka kumi ijayo.

Tafakari lifanyie kazi jambo hili

Kuna haja ya moderator kuwa na uwezo wa kutoa worning letter kwa watu wanaotoa maneno ya kejeli na dhihaka.
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki

Swali la kujiuliza why oscar kambona aliuwawa.
Coz mjukuu wake ni frend of mine na kitu alichowahi kuniambiaga babu yake alikuwa anania ya kuipindua serikali ndio maana wakampaliza.
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki

Wachaga mna hasira sana na Nyerere kwa kuwaachia laana ya kutoshika nchi kamwe. Ebu leta na history ya Maleale na usaliti wenu kwa watanganyika, alafu leo ndio mnajifanya mnauchungu na nchi. Mtaisoma namba.
 
hao waliomkaribsha nyerere kwenye mji,kwanini wao walikaa mda wote huo bila kupata uhuru mpaka alipokuja nyerere..

Kiukweli waislam mna akili flani hivi za ajabu sana ambazo mnarithishana kizazi hadi kizazi..

Na ndiyo maana mwinyi na kikwete ndo ma-rais wanaosifika kwa kupindisha nchi wakati mkapa na nyerere wanasifika kwa kunyosha nchi..
Hii post yako nimeikubali sana. Na imejidhihiri wazi wazi bila kuacha shaka
 
....lakini pamoja na Bibi Titi na wahaini wenzie kutaka kupindua Serikali ya Mwalimu na si ajabu kumfunga Mwalimu au hata kumuua lakini Mwalimu bado aliweza kumsamehe na kuwasamehe wahaini wengine wote.
 
....lakini pamoja na Bibi Titi na wahaini wenzie kutaka kupindua Serikali ya Mwalimu na si ajabu kumfunga Mwalimu au hata kumuua lakini Mwalimu bado aliweza kumsamehe na kuwasamehe wahaini wengine wote.
Bibi titi alitumikia kifungo baadae ndio alipata msamaha wa Rais.
 
Nyerere he was a failure no wonder kulikuwa na majaribio ya kumpindua .. Socialism ni system ambayo alikuwa akilazimisha ila iligoma ..
 
Nyerere na Titi walikuwa na yao mengi na walijuana,kwenye sherehe ya miaka 75 ya Nyerere 1997,Titi alimsifia sana Nyerere na mwishoni walikumbatiana wakabusiana deeply.Hiyo picha kama naiona hivi leo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom