[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani mbonaa hatariiiiiiio siku bwan tupo mstarini[emoji23][emoji23][emoji1487]npo mimi na mwenzangu sasa utando wa buibui ukawa umepta mbele yetu,tukawa tunajionesha huku tunacheka,,kiranja alokua mbele alikua na kengeza,si akajua tunamcheka,,,alitupeleka kwa ticha tulitandikwa balaa,, mwenzangu kumbe hakupenda,akaenda kumuita dingi ake,,aseee aliporomosha mitusiiii.....to be continued,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1487]
πππNna moments za kipuuz sana mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani mbonaa hatariiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shule kuna moments unatamani zijirudie yaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Moments kam hiz ndo hunifanya nkumbke shule mambo ya masomo nehiii [emoji1609]
πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shule kuna moments unatamani zijirudie yaani
πππHii lazima ujishtukieKuna ile ya wakati wa mtihani Ticha anakusogelea afu anasema jamani someni maswali kwa makini na myaelewe
Ma teacher wenyewe tupo humu humu JF sasa tutakuchapa tenaHabari WanaJf,
Nimekumbuka Wakati huo shuleni mwalimu anakuchapa viboko, we ukilia anakwambia aaah unanizomea sindio[emoji23][emoji23]
Na wengine ukishika tu nafuta naanza mwazo, iyo sihesabu.. Daah maticha bhn sometimes wanaona Raha wanavyopiga fimbo raia
ππ Mkuu samahani pm sikupatinishawahi zabwa kibao kimoja heavy kwa uoga na ubishi wa kukinga mikono nichapwe,,,aseeee baada ya lile kofi nilipata wenge nkakinga mikono,,nilitandikwa fimbo nakuja shtuka bakora ya 8 ndo naanza kufeel maumivu ππππΎππΎsekondari io f3
ππππtunafunga mkuu wahuni wengi humuππ Mkuu samahani pm sikupati
Duππππtunafunga mkuu wahuni wengi humu
usjal,, endelea kunichungulia kuna mda hua naacha kupumue
Aisee haya bwanausjal,, endelea kunichungulia kuna mda hua naacha kupumue
πππππAisee haya bwana
Dah nimelia sana πSimkumbuki mimi sijasoma darasa lolote mahi lavu π