rr4
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,797
- 5,510
Ndio na nimegundua kwasababu Chama tawala ndio Serikali na ni wezi na wanashirikiana na Mafisadi na wezi basi hawaezi zuia wizi na wezi wanaowapotosha watanganyika Kila siku na scheme mpya za wizi.Jitafutie wajinga upige ela. Kuna wanaopigwa pale kawe daily, kuna siye watanzania wote tunapigwa na rangi ya kijani daily. Kwa hiyo ili ufanikiwe lazima utafute wazembe wako
Mara, Mr.Kuku, mara Manguruwe mara JBL, mara wale wa sungura nyanda za juu kusini. Mara sijui kilimo Cha nini huko Zanzibar na iringa huyu huyu manguruwe na mambo kibao.
Hadi Hawa wachungaji wa maturubali wanaiba sabau uongozi umelala.
Wanaogopa kuwanyooshea wezi kidole.