Tujikumbushe kuhusu Ontario(Sirjeff Denis)

Tujikumbushe kuhusu Ontario(Sirjeff Denis)

Post zake huko X(twitter) balaa tupu. Jamaa ana dharau.
Ila namkubali sana huyu mwamba kabla sijamsoma na mambo yake ya forex niliwahi kumsifia kwenye uzi flani hivi. jamaa akavutiwa na sifa nilizompa alinipa zawadi ya laki moja.
Kumbe una kipaji cha uchawa na husemi🤣
 
Jokate kipindi wanamuweka kweli alikua kwenye mkondo wa hela... alipoingia siasani tu na ramani ya biashara ikafa
Hapana zile za kwamba anaingiza sijui bilioni tatu? Yalikuwa mastory tu na ndiyo maana alikuwa anafanya kila kitu kuigiza, mziki, mara kandambili lakini alipofika katika siasa akatulia ndipo alijipata.
 
Hapana bana..jamaa ana kitu atafika mbali😀

Ulitoa namba, ukasubiria ikaja ikawekwa laki 1 na sasa unatoa usuhuda na kuendelea kutetea. Hapa ngoja nilejee notice za kipindi kile darasni nchini Cuba. Na madem wengi walimsonga songa sana nae akawasongesha songesha sana.
 
Ulitoa namba, ukasubiria ikaja ikawekwa laki 1 na sasa unatoa usuhuda na kuendelea kutetea. Hapa ngoja nilejee notice za kipindi kile darasni nchini Cuba. Na madem wengi walimsonga songa sana nae akawasongesha songesha sana.
Kwani kuna tatizo mkuu. Namba nilitoa na pesa nikapata. Sijatapeliwa kama wengine, nilipata faida
 
Ila alinipa hamasa sana kipindi ya kusaka hela, na ukihamasika ukaingia mihangaikoni kuteseka unapata matokeo
 
Kwani kuna tatizo mkuu. Namba nilitoa na pesa nikapata. Sijatapeliwa kama wengine, nilipata faida

Hahahaahaha 😂😂😂😂 unawatonesha makovu na kuwasimanga wenzio.
Tatizo hakuna Mkuu Demi, ila malizia hujaenda kutembelea zile hotel wakifikiaga wanaanza kuzipost kwanza.
Inatafutwa ka swimming pool pemben hapo ndio mhudumu anaambiwa alete meza na kiti ili kupata nice insiprationa photos.
Utasikia spending my Fx Money.
 
Na hiyo ni dalili na ushahidi wa akili za watanzania wengi ukiweka "icing" maneno umewabeba sio ajabu hata rais ana akili hizo watu wanatunga viproject uchwara kumuonyesha anakubalika na yeye yuko kimya.

Ona ujinga kama huu eti daftari la mama, nchi gani yenye watu wenye akili wataruhusu huu upuuzi?
IMG_0541.jpeg
 
Back
Top Bottom