Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Kuna mademu walienda na upepo wa kisulisuli.
Sio mimi.Kuna muungwana amemuomba 100k akamtumia
Yes ana akili.Mbali na mapungufu yake ila jamaa ana kitu flan imagine kusepa na Kijiji JF sio kitu kidogo, pia ni mtu aggressive akiamua lake
Duh ila jamaa ni tapeli yuleSio mimi.
Na mimi sikumuomba.
Ni miaka mingi imepita hapa jf, nadhani kulikuwa na uzi unasema utaje mtu anayekuvutia, nilimsifia kwamba ana akili na mambo mengine kibao. Akasema nitumie namba yako nikupe zawadi., nilidhani utani nikawa napotezea, baadae nikamtumia akanirushia laki moja. Sikumuomba.
So sidhani kama alimaanisha ni mimi.
Noma sanaHahaaa
Huyo jamaa alileta mtafatuku humu ndani.
Wengine tulionekana haters.
Alikuwa na praise team yake ya hatari
Sawa huo ni mtazamo wakoLow IQ anayo
Kuna muda anaongeaga pumba ila jamaa kwa akili ni 🔥Sawa huo ni mtazamo wako
Kipindi kile alivosema kadhulumiwa na partners wake😂Aliwapiga 55M akaenda kununua msitu Mafinga na Mufindi akaanza kuchana mbao
Amekutapeli nini?Duh ila jamaa ni tapeli yule
Aliliza watu humuAmekutapeli nini?
Sijui kama ilikuwa kweli?Kipindi kile alivosema kadhulumiwa na partners wake
Kuna mang'ombe mengi tu aliyabamiza humu.Jamaa lijinga sana lile, anatumia akili yake vibaya KUPOTOSHA UMMA WA WATANGANYIKA.
Huku Jamiiforums tulimshughulikia mpaka akatoroka akakimbilia twita kujizolea mazombi mengine ya kutapeli.
Ati JANGID!!
JANGID ya Nyokwe! Ebo!
Cc: niffah Nyani Ngabu
Tupe status za hao uliowataja wakoje kwa sasa tofaut na zile show off za inspirational speakersJamaa is smart and very aggressive akitaka jambo lake,
Ila kuna namna maisha yake binafsi he so empty, he is way too toxic...
Mtu mwenye maisha ya amani na furaha at a personal level hawezi kuna na toxicity kama zake especially ukiwa na pesa....
Wenzie aliotengana nao kiukweli wapo vizuri sana, lifestyle zao scream "we are content and happy"... Clinton, Janeth na Elikana