super hero1
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,057
- 825
Anatumia jina gani??Yupo X (twitter) huko anakijiji chake na wafuasi wanaomuabudu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatumia jina gani??Yupo X (twitter) huko anakijiji chake na wafuasi wanaomuabudu.
Post zake huko X(twitter) balaa tupu. Jamaa ana dharau.Ukisoma thread zake utasema umechelewa sana kimaisha
Na hadi Leo watu wanalizwa na jamaaJamaa lijinga sana lile, anatumia akili yake vibaya KUPOTOSHA UMMA WA WATANGANYIKA.
Huku Jamiiforums tulimshughulikia mpaka akatoroka akakimbilia twita kujizolea mazombi mengine ya kutapeli.
Ati JANGID!!
JANGID ya Nyokwe! Ebo!
Cc: niffah Nyani Ngabu
Kwa tanzania wengi ni wanaijeria na wakenya. Hapana mkuu platform ya lbl haina chochtote cha maana pale hata mtu mwenye basic skills anaweza kuitengeneza. Kuhusu kuweka pesa wanatumia namba za kawaida ili mwekaji aonekane anatuma pesa kama anamtumia mtu na ndo maana wanakuwa na namba nyingi. Wee si ushawahi kusikia wanaija wamekamatwa wakiwa na sim cards kibao, mara nyingi ndo shughuli zake. Zinakuwa linked na server inayosoma sms za miamalaDuh hawa watu wanaoanzisha hizii companies their well skilled
Sir JefAnatumia jina gani??
Anatumia jina gani??
Ila watengenezaji ni wataalamu wa Computer wapo very skilledKwa tanzania wengi ni wanaijeria na wakenya. Hapana mkuu platform ya lbl haina chochtote cha maana pale hata mtu mwenye basic skills anaweza kuitengeneza. Kuhusu kuweka pesa wanatumia namba za kawaida ili mwekaji aonekane anatuma pesa kama anamtumia mtu na ndo maana wanakuwa na namba nyingi. Wee si ushawahi kusikia wanaija wamekamatwa wakiwa na sim cards kibao, mara nyingi ndo shughuli zake. Zinakuwa linked na server inayosoma sms za miamala
😂Aliwapiga 55M akaenda kununua msitu Mafinga na Mufindi akaanza kuchana mbaoNa aliwapata wengi pesa nje nje
Anaenda kwa handle gani sahivi.Yupo mbona
Ivo ivo Sir Jeff 😅Anatumia jina gani??
😂😂😂Aliwahi kusema siku moja kwenye space mwaka Jana mwezi wa 8 hiviPost zake huko X(twitter) balaa tupu. Jamaa ana dharau.
Ila namkubali sana huyu mwamba kabla sijamsoma na mambo yake ya forex niliwahi kumsifia kwenye uzi flani hivi. jamaa akavutiwa na sifa nilizompa alinipa zawadi ya laki moja.
Sijamsikia mudaAnaenda kwa handle gani sahivi.
Alisemaje?😂😂😂Aliwahi kusema siku moja kwenye space mwaka Jana mwezi wa 8 hivi
Sir Jeff si yule mwembamba kama hali???Ivo ivo Sir Jeff 😅
Alisemaje?
Mbali na mapungufu yake ila jamaa ana kitu flan imagine kusepa na Kijiji JF sio kitu kidogo, pia ni mtu aggressive akiamua lakePost zake huko X(twitter) balaa tupu. Jamaa ana dharau.
Ila namkubali sana huyu mwamba kabla sijamsoma na mambo yake ya forex niliwahi kumsifia kwenye uzi flani hivi. jamaa akavutiwa na sifa nilizompa alinipa zawadi ya laki moja.
Sir Jeff si yule mwembamba kama hali???
Sir Jeff si yule mwembamba kama hali???
Hivi jamaa atakuwa utajiri kiasi gani mbona anakauli za dharau sana b 1 inafika? Nakumbuka mada zake zilikuwa ni za kupiga pesa tu😂Aliwapiga 55M akaenda kununua msitu Mafinga na Mufindi akaanza kuchana mbao
Matapeli huwa na akili kubwa sanaMbali na mapungufu yake ila jamaa ana kitu flan imagine kusepa na Kijiji JF sio kitu kidogo, pia ni mtu aggressive akiamua lake
Anaweza kufika huko Mufindi & Mafinga kawekeza sanaHivi jamaa atakuwa utajiri kiasi gani mbona anakauli za dharau sana b 1 inafika?