Tujikumbushe kuhusu Ontario(Sirjeff Denis)

Jitafutie wajinga upige ela. Kuna wanaopigwa pale kawe daily, kuna siye watanzania wote tunapigwa na rangi ya kijani daily. Kwa hiyo ili ufanikiwe lazima utafute wazembe wako
Ndio na nimegundua kwasababu Chama tawala ndio Serikali na ni wezi na wanashirikiana na Mafisadi na wezi basi hawaezi zuia wizi na wezi wanaowapotosha watanganyika Kila siku na scheme mpya za wizi.

Mara, Mr.Kuku, mara Manguruwe mara JBL, mara wale wa sungura nyanda za juu kusini. Mara sijui kilimo Cha nini huko Zanzibar na iringa huyu huyu manguruwe na mambo kibao.

Hadi Hawa wachungaji wa maturubali wanaiba sabau uongozi umelala.

Wanaogopa kuwanyooshea wezi kidole.
 
Your mistakes are your biggest teacher. Learn from them and develop your own trading strategy.

The average monthly income of professional forex trader ranges from 25% to 30%.

Stay happy,stay safe.
 
Hii chapa itauza sana bila promo.
 
Forbes africa huwa wanakurupuka ndiyo maana huwa kuna madai kiwa wanalipwa. Hata jokate walishamweka kuwa atakuwa coming milionaire

Sio Africa hata mbele. Wengi tu wamekuwa listed and turned out to be frauds.
 

Kila siku Kabla ya kulala nyosha mikono juu sema "nchi ya kipumbavu sana hii" mara tatu.
 
Ha
Ontario ni msenge sana, every time I think 'bout that fool who hit me for 800K, my heart straight up bleeds. That was when I just came fresh outta university.
πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† pole mwaya... hutojaa kwenye mfumo wa mtu yeyote kirahisi
 
Your mistakes are your biggest teacher. Learn from them and develop your own trading strategy.

The average monthly income of professional forex trader ranges from 25% to 30%.

Stay happy,stay safe.
People do less than that and also people do more than that...
So hayo ni maoni yako sio fact
 
Mi naamini nikipata mchongo unaonipa hela siwezi mshtua mtu aufanye
 
Sema hawa washkaji wahuni sanaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, kuna kipindi aliwekwa hadi kwenye chupa za maji>Sema kibunda kipo acha watumie, utawaambia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…