Ryaro ryaro
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 380
- 1,170
LISSU tu Ndiye Kiboko wa CCM...Masisiem Kama anavyowahita Walikuwa Wanamwombea Mpambe Wao Nyarandu Lazaro Apitishwe Kama Mgombea Uraisi Kupitia CHADEMA ili Kazi yao Iwe Rahisi. Lissu ni Kiboko ya CCM na wao Wanaujua Ukweli huo..Hata wanaojiita Tiss wanamjua.
Ndio maana wanuogopa zaidi ya vita.