Abbas GulamaliKuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:
Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
Mzee wa mtembaSebastian Kinyondo
Alikuwa Mbunge na kisha akawa mkuu wa Wilaya ya Monduli, Lt. Moloimet
Marehemu Samweli Sitta kipindi hicho alikuwa ni waziri wa sheria. Kundi like lilikuwa na kina Jenerali ulimwengu, Joseph Since Warioba Njelu Kasaka nkni ningependa sana kupata wale miamba wakuu yaani G48 kama sijakosea, wale wapinzani ndani ya Bunge enzi za mwalimu.
nafikiri kiongozi wao alikuwa Njeru Kisaka, si na uhakika kama sitta alikuwapo ndani, mwenye data - ni kujikumbisha tu sina jingine.
Jakaya hakuwa Dkt wakati wa ubunge wakeTajeni na majimbo yao.
Kwa mfano:
Mh Dr.Jakaya M. Kikwete - Chalinze, Mh. Abbas Mgumba - Kibaha, Mh. Mzee Khalfan - Bagamoyo, Mh. Abbas Gulamali - Kilombero, Mh. Semindu Pawa - Morogoro vijijini (Kusini Mashariki), Mh. Shimim Khan - Morogoro Mjini, Mh. Nicas Mahinda - Mvomera etc.
Jackson Makweta
Gutram Itatiro
Amir Jamal
Al Noor Kasam
Lawi Sijaona
Said Natepe