Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo musa. Ni Kilontsi Mpologomyi, alikuwa mbunge wa huko kigoma na naibu waziri wa fedha chini ya waziri profesa Simon Mbilinyi 1995-2000(1)mussa mporogomi
Steven Galinoma (mbunge wa kalenga mkoani IRINGA)Galinoma
Mbunge huyu alikuwa mtaata. Kwenye kampeni za ubunge mwaka 2005 aliulizwa swali na mpiga kura mmoja kuhusu ubovu wa Barabara, huyu bwana akacheka sana kisha akamuuliza mpiga kura wake "wewe ndugu barabara ya nini wakati jimbo zima mimi ndiye mwenye gari?"Juma jamadini akukweti(naibu shika) mungu amrehem hko aliko
Kilonsi Mpologomyi alikuwa mbunge wa kasulu magharibi, ndiyo buhigwe ya leoSiyo musa. Ni Kilontsi Mpologomyi, alikuwa mbunge wa huko kigoma na naibu waziri wa fedha chini ya waziri profesa Simon Mbilinyi 1995-2000
poleronaldo de lima
G55,Jenerali Twaha Ulimwengu,Kuwaya waya s.kuwayawaya,nkni ningependa sana kupata wale miamba wakuu yaani G48 kama sijakosea, wale wapinzani ndani ya Bunge enzi za mwalimu.
nafikiri kiongozi wao alikuwa Njeru Kisaka, si na uhakika kama sitta alikuwapo ndani, mwenye data - ni kujikumbisha tu sina jingine.