Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,348
- 3,038
Ufu utani wenyewe wakweli SasaAcha kuleta masikhara kwenye utani bhanaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufu utani wenyewe wakweli SasaAcha kuleta masikhara kwenye utani bhanaa!
Phares Kabuye... Alikuwa mtata sanaa- Falecy Kabuye
Na aliwajibishwa?Leons Ngalai wa Rombo , alienda na bia chafu mbungeni ili kumuwajibisha waziri wa viwanda wakati huo
Manju msambyaKuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:
Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
Huyo alikuwa jimbo ganironaldo de lima
Rafiki yake zitoKuna Mudhihir Mudhihir wa Lindi huko