Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Halimeshi mayonga kahena aliwahi kuwa mbunge wa jimbo langu LA kigoma kaskazini now kachoka nadhani zaidi ya mbunge yeyote TZ na alihudumu vipindi 3 mfululizi. Mbizo
Namkumbuka, kilichimchosha nini? mwambie alime sana mchikichi
 
mh Sebatian Rwekiza Kinyondo( Mwenyezi Mungu amrehemu)
Mh joseph Clement Rwegasira( Mwenyezi mungu amrehemu
Mh Samwel Kassano(mwenyezi Mungu Amrehemu
Mh Zimbihile(mwenyezi Mungu amrehemu
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w
(1)mussa mporogomi
 
Makidala Mosi-Siha, Peter Kabisa Kinondoni, Abel Mwanga-Musoma Mjini, Edward Oyombe Ayira- Tarime,
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w
Maria Hibesh Hewa
Mlyambate
Felix Kijiko
 
Chrissant Majiyatanga Mzindakaya mzee wa Kwera Sumbawanga kule.
 
Back
Top Bottom