Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

..msimsahau Professor.John Babtist Machunda. nadhani alikuwa mbunge wa ukerewe na waziri wa kilimo.

..pia kuna mbunge wa Ngara, akiitwa Sebabili.

..mwingine ni mbunge Rombo, Leons Ngalai.

cc: Mkandara
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka mleta mada anasema majina ya wabunge wa zamani:
1.Kanasia Mtenga-Moshi vijijini (Marehemu)
2.Alphonce Maskini [Rombo] (marehemu)
3.Leons Ngalai [Rombo] (Marehemu)
4.Basil Mramba [Rombo]
5.Justine Salakana [Rombo)
 
Muweka uzi hakutaja wabunge wa nchi gani. Naanza na wa kwetu Kenya:

Charles Njonjo
 
Zakaria Nchilu Madila, Samwel Luangisa,Rutagwelela, Paul Mabiti, Lupondije, Mabawa, Kinuno,Bunuma, Paul Bomani, Amil Jamal, Abel Mwanga, Ng'weshemi, Timothy Shindika, Nandonde, Kasubi.
 
E. Byeitima.............alikuwa mbunge wa Karagwe,kwa sasa ni marehemu. Mungu amlaze mahali pema peponi. AMINA
 
nakumbuka mleta mada anasema majina ya wabunge wa zamani:
1.kanasia mtenga-moshi vijijini (marehemu)
2.alphonce maskini [rombo] (marehemu)
3.leons ngalai [rombo] (marehemu)
4.basil mramba [rombo]
5.justine salakana [rombo)

mheshimiwa spika, yaani serikali inawanywesha wananchi wangu wa rombo bia chafu?
 
Sukwa Saidi Sukwa

Elinewinga

Barrongo

Huyo Sukwa Said Sukwa hana hamu kabisa na vyama vingi , maana Cuf ilivyoingia Pemba tu Habari yake Kwisha ! Sijui yuko hai au kafa kwa presha ?
 
Kujikumbusha tu majina ya wabunge inasaidia nini? Ingeleta maana kama kwa kila mbunge jimbo alilowakilisha lingetajwa
na mchango maalum wa huyo mbunge ungetajwa pia. Hiyo ndo maana ya kumkumbuka mtu. Kwa mfano mzee Chrisant Maliyatanga Mzindikaya alikuwa mbunge wa Kwela na alijulikana sana bungeni kwa mtindo wake wa 'kulipua mabomu' ie kutoa hoja nzito za kushtua! nk.
stop being serious on every issue..most aren't in so many serious issues. My advice to you with regards to this thread is sit down, relax and enjoy a ride down a memory lane.
 
Semindu Pawa alikuwa jembe huyu, yuko hai au alishatutangulia

Hata sijui aisee.

Bora wanaofahamu habari zake waje watuambie.

Nilikuwa namsikia sana kipindi cha Msekwa , alikuwa mshiriki mzuri sana wa mijadala na mwenzake Makadara Mosi.
 
Back
Top Bottom