Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo nyapu iligeka bwawa afadhali ya mteraMbn umarufu wake ulishuka gafla tatzo nn
Lakn anajitahd bana huezi mcompea na wemawitnessjost: 25950790 said:Mmmh jokate katoboa....acha kunifanya nikupe ban!
Norah alikuwa habari nyingine enzi zile anaigiza na Dr. Cheni, zile swaga zake za kuongea kimahaba sasa daaah. Sema alikuja kuharibika alipoanza kutoka na waganga wa kienyeji[emoji23] , na alivyonenepeana mashavu ndio ikawa kwisha habari yake ule urembo wote ukatoweka. Kumbukumbu zangu zinanionyesha Norah alianza kusumbua kwenye headline za magazeti ya udaku (Kiu na Ijumaa) kabla ya Sintah, sema Sintah alikuja kumpiku baada ya kiki za kuimbwa na Nature kwenye hits zake 2 'Sitaki Demu' na 'Inaniuma sana' baada ya kutemana naye. Kweli Old is Gold, ipo siku na kina Wema watakuwa si lolote tena maana warembo wanazaliwa kilasikuNora usimsahau
Johari ni kizazi cha juzi tu hapa, wahenga ni kina Sinta,Nora,Monalisa,RayC,n.kENZI HZO MADEMU WALIOKUWA WANATIKISA MJINI
1. Johari
2. Sinta
3. Norah
4. Nancy sumari
5. Ray C (huyu ray c kiukweli watu wamemparamia sana, hapa ndipo naamin papuch haikomoleki, maana mapromota wanamchukua, wanamlipa then wanampa na kishka uchumba, kiuno kinaachiwa.. Enzi hzo yupo na mwisho mwampamba wa BBA)
Ng'wizukulu Jilala alifaidiNorah alikuwa habari nyingine enzi zile anaigiza na Dr. Cheni, zile swaga zake za kuongea kimahaba sasa daaah. Sema alikuja kuharibika alipoanza kutoka na waganga wa kienyeji[emoji23] , na alivyonenepeana mashavu ndio ikawa kwisha habari yake ule urembo wote ukatoweka. Kumbukumbu zangu zinanionyesha Norah alianza kusumbua kwenye headline za magazeti ya udaku (Kiu na Ijumaa) kabla ya Sintah, sema Sintah alikuja kumpiku baada ya kiki za kuimbwa na Nature kwenye hits zake 2 'Sitaki Demu' na 'Inaniuma sana' baada ya kutemana naye. Kweli Old is Gold, ipo siku na kina Wema watakuwa si lolote tena maana warembo wanazaliwa kilasiku
Yeraaaaa bonge la ngomaaaKwenye ngoma inaitwa Taswira yumo Dojo, Domo na Inspecta kuna mstari unasema..
"..namuona Juma Nature ufukweni namuona Sinta,
Namuona P Diddy analilia penzi la Jenifa..."
Www.waptrick.com, search domo kaya taswiraNaomba unitumie hyo ngoma mkuu.
Waptrick hawatoi audio quality halafu kunakua na virusi sometimes.Www.waptrick.com, search domo kaya taswira
[emoji23] [emoji23] [emoji119]Nyi ndo unaingia jukwaa la vichekesho naanza kusema eti hivi viwanda vitajengwa kweli mkuu acha tabia ya kujisaidia haja kubwa sebureni nenda jukwaa sahihi la chooni
[emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji109]Jicheki picha zako za enzi hizo utaelewa kwann walikuwa wakali. Nimeshawahi kujikana kwenye picha
True johari wa juzi kati tu alikuepo nina,nana mwenye vidompozi (wa bambo)...ebwana kaole ilikua na watoto wazuri kinoma.Johari ni kizazi cha juzi tu hapa, wahenga ni kina Sinta,Nora,Monalisa,RayC,n.k
Doh!M/MUNGU amrehemu..kweli zama zimebadika enzi hizo pesa zetu ziliishia kwenye magazeti sasa hivi MB..Ilikua lazma tununue gazeti la HAMU kupata udaku wa kina Aisha,Waridi,Nana,Nina,sinta,Cathy na Dokii.Ng'wizukulu Jilala alifaidi
Demu alikuwa Norah bana!!..chaputa moro tulikua vizuri!.