Raia wa Israel waliotekwa wakiingizwa Gaza, wapalestina wameachiwa wawapige kama sehemu ya kusherekea
Your browser is not able to display this video.
Mitaa ya Gaza waplestina wakifurahia jaribio lilioanza la kuisafisha israel
Your browser is not able to display this video.
te
Shangwe mitaa ya London, Uingereza
Your browser is not able to display this video.
Fataki zilipigwa huko Iran
Your browser is not able to display this video.
Iraq
Your browser is not able to display this video.
Kahawa ya bure mitaani na pipi kusherekea kuanza kwa zoezi la kuiteka Israel
Your browser is not able to display this video.
ISRAEL IKAJIBU
Israel ilianza kwa mashambulizi ya anga kulipua majengo yanayotumika kurushia makombora zikiwemo shule za watoto, misikiti, maghorofa wanayoishi raia, n.k. Hamas hutumia mbinu hii ili raia wawe ngao yao, mara kadhaa Israel huwa inatuma meseji, kupiga simu, kusambaza vipeperushi, n.k. inapolipua majengo makubwa nao hamas hutumia mwanya huo, hadi sasa ni wapalestina 12,000 tu wamefariki, ni wachache mno !! bila hizi tahadhari wangefika hata milioni
Your browser is not able to display this video.
vita iliendelea Hamas walielemewa, Mataifa yakaingilia kati kuwe na maridhiano ya kusitisha vita, vita ilitulia kwa siku chache tu lakini Hamas wakarusha tena makimbora na hilo likawa kosa linalowagharimu mpaka sasa
Israel ikawaambia wapalestina wote waondoke Gaza ya Kaskazini wapigane uso kwa uso na magaidi wa Hamas japo ilichukua muda kukamilisha zoezi sababu Hamas hupenda kutumia raia kama ngao, halikuwa zoezi rahisi, Hamas walijaribu kukwamisha mara kadha kwa kulipua misafara
Your browser is not able to display this video.
Muda huu jeshi la Israel liliingia Gaza sio kushambulia kwa anga, Mahandaki yalikuwa target ya kwanza kwa kuwa Hamas huyatumia kujificha, Israel wakaanza operesheni ya kutumia mabomu kuzibua mitaro / njia za mahandaki
Your browser is not able to display this video.
zoezi la kusaka mahandaki liliendelea sambamba na kulipua majengo ya kukimbilia kujificha
Your browser is not able to display this video.
Mataifa ya nje yaliingilia kati na kuomba maridhiano ya kusitisha vita, vilidumu basi !! Hamas akaanza kushambulia upya ndipo Israel akaapa muda huu atatoa Disiplin hakuna mfano
Muda huu Israel alienda kazini, magaidi wa Hamas wakaanza kujisalimisha
Your browser is not able to display this video.
a
Navyosema Israek aliingia kazini tuelewane, hii ni Gaza kwa sasa, inakadiriwa itachukua miaka zaidi ya 10 kuondoa vifusi.
Your browser is not able to display this video.
Kwa sasa vilio vya wale waliofurahia October 7 vimetawala, maandamano kila kukicha kuwabembeleza Israel kwamba "Imetosha", wengine kuilalamikia Israel, n.k.
Hiyo ilikuwa ni faulo kubwa sana ambayo Hamas wakifanya, huwezi kukamata raia na kuwaua kisa unataka nchi yako, ilitakiwa wakakamatwa wanajeshi wa Israel, hilo kosa bora wangefanya kwa USA, Britain, France, Spain hizo nchi zina huruma sana ,lakini kushambulia nchi kama Israel, Rusia, Iran, Turkey, China, India ni hatari sana.
Hiyo ilikuwa ni faulo kubwa sana ambayo Hamas wakifanya, huwezi kukamata raia na kuwaua kisa unataka nchi yako, ilitakiwa wakakamatwa wanajeshi wa Israel, hilo kosa bora wangefanya kwa USA, Britain, France, Spain hizo nchi zina huruma sana ,lakini kushambulia nchi kama Israel, Rusia, Iran, Turkey, China, India ni hatari sana.