Tujikumbushe shangwe zilizotawala kufurahia jaribio la kuiteka na kuua waisrael wote (river to sea) October 7, Leo hii vilio vimewageukia wao

Matusi ya nini Maalim?
Taratibu shekhe,
Kwani al-Aqsa si ipo ndani ya Jerusalem?!
Jerusalem wanaoidai wao si washapewa!?
Au hujui kama kuna Jerusalem mbili!?
Hiyo West Jerusalem ambapo kuna Al aqsa/Baytul maqdis panawahusu waislam kizazi na kizazi.
Ulitaka wapaache!?

Bado nadai majibu ya maswali yangu.
1)Je Gollan heights ni Jerusalem?
2)Je Shebah farms ni Jerusalem?
3)Je Gaza ni Jerusalem?
4)Je Sinai ilikua Jerusalem?

Nipatie majibu ya hayo maswali mkuu.
 

 
Kumbukumbu nzuri binadamu tumeumbwa kusahau.
 
Hii Haya ya mwisho naona inakuhusu ww mwenyewe maana umeandika ujinga mtupu, acha na mamia ya raia wa Israel waliouliwa na Hamas hivi wale watanzania wawili ambao ni miongoni mwa waliouliwa walikuwa wanyama ama?
 
Lengo la hamas lilikua kuuwa raia wengi kadri walivyoweza na ndio maana walifanikiwa kuuwa raia 1400 ikiwa ni pamoja na Watanzania wenzetu wasokua na hatia, wanajeshi zaidi ya 200 pamoja na kuteka na kubaka wanawake.
Kumbuka pia walirusha makombora zaidi ya elfu 5 kwa siku.
Ilikua ni tangazo la vita na ndio maana myahudi anajibu accordingly.
 
Hamas wa mchambawima walikuja hapa baada ya lile shambulio Oktoba 7 wakisherehekea na kufurahia

Baada ya Israel wazee wa kazi kuanza kujibu mashambulizi, kwanza walianza mashambulizi ya anga wafuasi wa allah wakasema hawawezi kufanya mashambulizi ya ardhini, wamefanya mashambulizi ya ardhini na wameingia huko ghaza ndani ndani mpaka wafuasi wa allah wamepoteana

Kwa sasa zile takiibir zimeisha vimebaki vilio kama vya mbwa koko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…