TUJIKUMBUSHE: Timu Maarufu za Ndondo kutoka mitaa yetu

TUJIKUMBUSHE: Timu Maarufu za Ndondo kutoka mitaa yetu

1. Omar kaliki (gaucho) mpk Sasa atabakia kua Bora hapa Tz Kwa walio wai mshuhudia ....
2.Dizo Huyu alikua na matege Huyu alikua na kipaji Cha kipekee sanaaa...
3.Babudinyo Huyu Kwa Sasa ni mwalimu alipewa jina Babu dinyo waki maanisha Huyu jamaa ni gaucho anajulikana kagasheki cup
4. Nokia Huyu anajulikana kagasheki cup
5.

List ni ndefuu
Wa wapi hao? Mimi huyo David ndio mchezaji wangu bora kumshuhudia kwa macho yangu.
 
Huu Uzi umenisisimua sana Huwa nikikanyaga ardhi...

Kitu pekee ambacho ningekifanya Kwa uraisi ni mpira wa miguu....

Free kick na penalty ni eneo nililo train hard mm kwangu ilikua ni kuwapa fedheha timu pinzani...
Hata mimi nilikuwa napiga free kick ile mbaya. Kuna moja nilipiga wakati nasoma Galanosi Sekondari hadi leo nikimkumbusha jamaa aliyedaka kwenyw group la Wanagalanosi anasema nilitaka kumuua maana jamaa waliweka ukuta hatua chache tu toka nilipo na nikavusha ukuta na mpira kwenda kugonga kule kwenye mwamba anapotagia njiwa na kuingia nyavuni.
 
Au dogo mmoja wanamwita Robert alikua anakaa mitaa ya kota huyu alicheza sana south alikua anabaniwa ITC na TFF

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Angebadili uraia tu kwani **** vijana wengi nilikuwa nawafahamu wa Pale kihonda walikuwa wanacheza nje ila kwa utaia wa nchi nyingune kwani Tz magumashi ni mengi sana. Hata Tanga kuna vijana wengi walizamia nje na wanakuwa /tafuta uraia wa nchi nyingine.
 
Sawa sawa akina matata, Mimi ni nduguye na joker.(Evance mkunyugu)
Aiseeehh umenikumbusha huyu bwana Rashid Matata alikuwa na kigugumizi cha hatari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada yake alikuwa ametenga mzigo wa haja [emoji39][emoji39][emoji39]
Kina Saidi Minandu,Marinda,Saidi bonge,Kheri (dogo alikuwa anaupiga mwingi sana na kichwani alikuwa vema pia),mapacha niliowazungumzia ni wale wa msufini pale uwanjani,hao kina Hendrick walikuwa wanachezea sana White Star........

Mimi nimezaliwa na kukulia pale mtaa wa Bakule bar ya zamani iliyo karibu na Kamanyola bar..............
 
Aiseeehh umenikumbusha huyu bwana Rashid Matata alikuwa na kigugumizi cha hatari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada yake alikuwa ametenga mzigo wa haja [emoji39][emoji39][emoji39]
Kina Saidi Minandu,Marinda,Saidi bonge,Kheri (dogo alikuwa anaupiga mwingi sana na kichwani alikuwa vema pia),mapacha niliowazungumzia ni wale wa msufini pale uwanjani,hao kina Hendrick walikuwa wanachezea sana White Star........

Mimi nimezaliwa na kukulia pale mtaa wa Bakule bar ya zamani iliyo karibu na Kamanyola bar..............
Ahaa poa mkuu matata zake korokoro tu.
 
Shule si imeshafunguliwa sasa unachat darasani?
Taqwa hapo nilipita miaka 7 nyuma ila huyo ticha alisema kacheza na boco pia
Aliona jina langu akasema anamjua mzee
Kuwa alicheza mpira na mzee wangu hapo fc bandari ya tanga
 
Taqwa hapo nilipita miaka 7 nyuma ila huyo ticha alisema kacheza na boco pia
Aliona jina langu akasema anamjua mzee
Kuwa alicheza mpira na mzee wangu hapo fc bandari ya tanga
Waongo wote.
 
Abajaro na Kinesi za Dar
KINESI lol hiyo timu maskani yake ilikuwa wapi
Usichanganye KOMBEL LA KINESI la MZEE KINESI
Mana dar NZIMA kombe la kinesi MAKURUMLA SHULE na na KOMBE LA MASAFI(LUCK RANGER) la MWANANYAMALA B SULE haya yalikuwa MASHINDANO MAARUFU SANA YA NDONDO DAR NZIMA

Nikiwa MWANANYAMALA mtaani CHAMA langu lilikuwa SWAZI INTER

nikienda MAGOMENI chama langu likuwa ni LINEA MESSINA la MAGOMENI KONDOA KOTA

Halafu kama nikiiwa TANDALE chama langu lilikuwa NATIONAL

Ila nilokuwa nawahusudu sana majamaa fulani wa FERRY POSTA timu yao ilikuwa inaitwa BEACH BOY hao jamaa wababe sana aisee ndio walikuwa KIBOKO ya TIMU KOLOFI zote za USWAHILINI
yaan wanaingi uwanjani pale MWANANYAMALA SHILENI wakishuka kwenye COSTA zao ADVATAIZ shingoni wamewavaa wale NGADU(KAA) kama kidani tena wakiwa wazima wanatembea kifuani mwao noma sana
 
Modo FC, Sony FC, Bambucha, Eagle Mob, Totali, Beila FC

Kigogo na Mburahati hizo
 
Back
Top Bottom