DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Hivi LAU yupo wapi nowdays?????maana mara ya mwisho nilimuona Villa squad akapote mazimaAkina mkude wenyewe wakawa walevi, wakawazaa watoto kama akina Amani george, kina lau wakaanza toka.Sema msisiri walipokulia malaya, pombe, kamari vikawapoteza.
Amani masikio ,pombe zimemharibu....
Hawa jamaa walikuwa hatari katika chandimu wakiongozwa na jona