TUJIKUMBUSHE: Timu Maarufu za Ndondo kutoka mitaa yetu

TUJIKUMBUSHE: Timu Maarufu za Ndondo kutoka mitaa yetu

Mtaa wa igumila ulikuwa na mademu wakali aiseeeeehhhh dah
Igumila ndo kwetu na ndio waliharibu vipaji vingi sana na wanawake wa pale wanagawana, majukumu kama kombania.Wamama na wasichana wao wanapokezana.Mpaka wazimalize zote.
 
WWa
Kama Mada Inavyosema.

Mimi nimekulia Morogoro na nimecheza sana ndondo miaka ya late 1990's na 2000's nikitokea timu ya Ghetto Boys ya Mvomero.

Katika makuzi yetu tulikuwa tunacheza sana ndondo huko Mvomero na Moro kwa Ujumla na katika mashindani ya Kiwilaya na Mkoa tulikuwa tunakutana na timu za Wilaya nyingine au mikoa mingine pale uwanja wa shujaa Morogoro Mjini.

Timu nyingi zilitoa wachezaji wa iliyokuwa ligi daraja la Kwanza sasa Ligi Kuu mfano Reli, Moro United, Mtibwa Sugar n.k za Moro na nyingine nyingi za nje ya Moro kama Prisons, AFC, Simba na Yanga n.k.

Wachezaji maarufu wa Ndondo ambao binafsi nimewashuhudia na kimsingi walikosa njia nzuri tokana na "Zama za giza tulizokuwa tunacheza na kizazi," ila wangekuwa wachezaji bora nchini na duniani kama wangecheza sasa ni kama wafuatao:

1. David Izengo-Toka timu ya Magereza huyu kwangu mimi ni mchezaji bora kumshuhudia kwa macho yangu nchini sema zama alizokuwa ziliua kipaji chake akaja cheza Prison. Hapa "Triple C" hamfikii.

2. Paul Mokiwa alicheza reli Morogoro na baadaye Prison ambapo alipata majeraha na kuacha kucheza Mpira.

3. Ramadhani Lundenga. Alikuwa ndugu na Hashimu Lundenga na alikuja chezea Yanga B.

4. Abu Ramadhani alikuja chezea Yanga.

5. Salum wa Gheto Boys ya Mvomero

6. Mimi Jimmy Gatete a.k.a mungu ya Magoli toka ghetto boys ya Mvomero.

7. Kipa Maarufu wa Ndondo Yusuph Dezo toka Timu ya Kishingo ya Dakawa pale alikuwa anampiga mikwara Kaseja kuwa yeye Kaseja ni "Tanzania 2" mbele yake naye ni "Tanzania 1" ila mfumo tu umembeba.

Timu maarufu za Ndondo Moro ninazozifahamu na tulizokutana nazo kwenye michuano mbalimbali ni:

1. Jamaica ya Moro Mjini.
2. Young Boys ya Mikese.
3. Jiwe ya Dumila.
4. Ghetto Boys na Asec za Mvomero.
5. Burkina ya Moro Mjini.
6. Kulikuwa na timu moja ya Kihonda waliyokuwa wanachezea akina Ulimboka Mwakingwe, Jumanne Shengo Tondoro na akina Kaseja siikumbuki vizuri.
7. Kulikuwa na timu moja toka turiani iliyokuwa ina wachezaji toka mtibwa kipindi hiko akina Mkangwa, salhina mjengwa, Zuberi Katwila, Mecky n.k

Je, wewe unaikumbuka timu gani maarufu ya ndondo ya mtaani kwenu na wachezaji maarufu waliokuwa wanaichezea?

Nakumbuka Dar walikuwa na Abajalo ya Sinza waliyocheza akina "Kali Mangonga Ongara Mbele kwa Mbele."
Wayege fc,Gungu rangers bila kusahau fc Congo za kigoma
Hapo walipita wengi kuanzia kina suleyman Yusuf "eppe" wa shangani znz,Saleh hilal,husen bhalo,Omar katumba,said maulid,seleman matola n.k
 
Hao Young Boys walikuwa wanapiga mpira hatari. Niliwashuhudia siku moja. Anyway, nilipenda battle la Bomu na Ashanti japo mi nilipenda siku ikicheza Sifa Politan na Kagera Rangers.
Hahsaa, unawapata hao jamaa. Walikuwa moto kweli. Sijui wameishia wapi siku hizi.
 
Kama Mada Inavyosema.

Mimi nimekulia Morogoro na nimecheza sana ndondo miaka ya late 1990's na 2000's nikitokea timu ya Ghetto Boys ya Mvomero.

Katika makuzi yetu tulikuwa tunacheza sana ndondo huko Mvomero na Moro kwa Ujumla na katika mashindani ya Kiwilaya na Mkoa tulikuwa tunakutana na timu za Wilaya nyingine au mikoa mingine pale uwanja wa shujaa Morogoro Mjini.

Timu nyingi zilitoa wachezaji wa iliyokuwa ligi daraja la Kwanza sasa Ligi Kuu mfano Reli, Moro United, Mtibwa Sugar n.k za Moro na nyingine nyingi za nje ya Moro kama Prisons, AFC, Simba na Yanga n.k.

Wachezaji maarufu wa Ndondo ambao binafsi nimewashuhudia na kimsingi walikosa njia nzuri tokana na "Zama za giza tulizokuwa tunacheza na kizazi," ila wangekuwa wachezaji bora nchini na duniani kama wangecheza sasa ni kama wafuatao:

1. David Izengo-Toka timu ya Magereza huyu kwangu mimi ni mchezaji bora kumshuhudia kwa macho yangu nchini sema zama alizokuwa ziliua kipaji chake akaja cheza Prison. Hapa "Triple C" hamfikii.

2. Paul Mokiwa alicheza reli Morogoro na baadaye Prison ambapo alipata majeraha na kuacha kucheza Mpira.

3. Ramadhani Lundenga. Alikuwa ndugu na Hashimu Lundenga na alikuja chezea Yanga B.

4. Abu Ramadhani alikuja chezea Yanga.

5. Salum wa Gheto Boys ya Mvomero

6. Mimi Jimmy Gatete a.k.a mungu ya Magoli toka ghetto boys ya Mvomero.

7. Kipa Maarufu wa Ndondo Yusuph Dezo toka Timu ya Kishingo ya Dakawa pale alikuwa anampiga mikwara Kaseja kuwa yeye Kaseja ni "Tanzania 2" mbele yake naye ni "Tanzania 1" ila mfumo tu umembeba.

Timu maarufu za Ndondo Moro ninazozifahamu na tulizokutana nazo kwenye michuano mbalimbali ni:

1. Jamaica ya Moro Mjini.
2. Young Boys ya Mikese.
3. Jiwe ya Dumila.
4. Ghetto Boys na Asec za Mvomero.
5. Burkina ya Moro Mjini.
6. Kulikuwa na timu moja ya Kihonda waliyokuwa wanachezea akina Ulimboka Mwakingwe, Jumanne Shengo Tondoro na akina Kaseja siikumbuki vizuri.
7. Kulikuwa na timu moja toka turiani iliyokuwa ina wachezaji toka mtibwa kipindi hiko akina Mkangwa, salhina mjengwa, Zuberi Katwila, Mecky n.k

Je, wewe unaikumbuka timu gani maarufu ya ndondo ya mtaani kwenu na wachezaji maarufu waliokuwa wanaichezea?

Nakumbuka Dar walikuwa na Abajalo ya Sinza waliyocheza akina "Kali Mangonga Ongara Mbele kwa Mbele."
Wajelajela Fc
 
Tuna vipaji lakini hatuna mifumo sahihi ya soka. Mpira ni zaidi ya control, kupiga pasi na chenga. Angalia wale waliokusanywa na malinzi kutoka timu za mtaani kuunda timu ya taifa walifeli vibaya. Walifeli sio kwa sababu hawana vipaji bali kukosa elimu ya mpira.

Elimu ya mpira itamfanya mchezaji ajue formation mbalimbali , kumjenga mchezaji awe na nidhamu, umakini, stamina n.k na hivi vinafundishwa tangu mchezaji akiwa mdogo.
 
Akina mkude wenyewe wakawa walevi, wakawazaa watoto kama akina Amani george, kina lau wakaanza toka.Sema msisiri walipokulia malaya, pombe, kamari vikawapoteza.
Amani George aliacha mapema shida sijui nini labda kwakua kaka aliyekua US alimshauri ila aliacha wakati alishaanza kuwa na jina maana ni kipindi kile kile alikua mfungaji bora taifa cup,huyu Lau alikua anaujua sana sema mkorofi sana mechi za uswahilini lazima agombane

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Akina mkude wenyewe wakawa walevi, wakawazaa watoto kama akina Amani george, kina lau wakaanza toka.Sema msisiri walipokulia malaya, pombe, kamari vikawapoteza.
Huyu Amini mwinyimkuu alikua anaujua sana na alikua maarufu kwenye mpira msisiri nzima sema akaamua kuchagua mziki zaidi

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
WWa

Wayege fc,Gungu rangers bila kusahau fc Congo za kigoma
Hapo walipita wengi kuanzia kina suleyman Yusuf "eppe" wa shangani znz,Saleh hilal,husen bhalo,Omar katumba,said maulid,seleman matola n.k
Wayege fc zilikuwa mbili kuna moja ilikuwa ni ya buhanda na nyingine ilikuwa ni ya nyakageni

Gungu rangers mpaka leo bado ipo lkn haina makali kama miaka ya nyuma

Timu maarufu iliyokufa kabisa ni wayege fc na wizard fc

Timu zinazofanya vizuri up to now
Mwanga city (hawa ni centre)
Saigoni fc
Joy
Mwandiga fc
Kayengeyenge fc
 
Kwa wakazi was kibaha nazani mnazikumbuka hizi timu za ndondo maarufu.

Napoli.
Parasu parasu.
Lisbon.
Mwendapole.
Wabishi.
Wajalalani.
Bamba.

Kulikua na vipaji vingi sana vimepita na kupotelea humo.
 
Amani George aliacha mapema shida sijui nini labda kwakua kaka aliyekua US alimshauri ila aliacha wakati alishaanza kuwa na jina maana ni kipindi kile kile alikua mfungaji bora taifa cup,huyu Lau alikua anaujua sana sema mkorofi sana mechi za uswahilini lazima agombane

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Hapendi kufungwa
 
Mashindano ya Lucky Rangers pale Mwananyamala yalileta sana starehe ya kuona natural talents za wacheza mpira, mmm TP Nyundo pale Kinondoni Mkwajuni,5 Stars pale Biafra ground,mmmm Berlin SC pale kinondoni Hananasif, looo hii list ninaweza kesha nayo, nchi ikiwa ina heshima na adabu na TISS wakilinda nchi, just imagine unatoka kucheza sikinde saa nane usiku na unatembea kwa mguu hadi kinondoni Moscow na mtungi juu, unaguswa na mbu tu!
 
Back
Top Bottom