MLIMAWANYOKA
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 631
- 2,247
Kijiweni FC. uyole moja..
Ikaja ikahusishwa kuuzwa na tajiri mmoja wa mashine za mpunga. Wachezaji waka anzisha timu yao.. ZARAGOZA..
humu walikuwepo miamba kama
1.Siasa- Golie, hapa manula akasome
2. Zaka panga mawe
3. Fabian
4. Tiasi
5. Rai
6. Muso
7. Dimini
8. Oden pamwannya
9. Ahazi - mwamba alienda kukipiga hadi zanzibar
10. Mtumba - Ezekiel saa mbili.. Alikipiga hadi tukuyu stars
Ikaja ikahusishwa kuuzwa na tajiri mmoja wa mashine za mpunga. Wachezaji waka anzisha timu yao.. ZARAGOZA..
humu walikuwepo miamba kama
1.Siasa- Golie, hapa manula akasome
2. Zaka panga mawe
3. Fabian
4. Tiasi
5. Rai
6. Muso
7. Dimini
8. Oden pamwannya
9. Ahazi - mwamba alienda kukipiga hadi zanzibar
10. Mtumba - Ezekiel saa mbili.. Alikipiga hadi tukuyu stars