Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri hadi sasa ipo ila inatumiwa sana na Wahindi. Kuna siku nilipata mgeni wa kihindi ofisini jamaa alitoka direct India akawa ananukia KuberiKUBERI mnaijua nyny watoto wa hiki kizazi?
Ukiwaambia chawa, watajua ni wapambe wa mama🤣🤣Mimi huku kwetu watoto wangu hawajui chawa ni wadudu gani. Enzi zetu wadudu hawa walitutesa Sana. Tulikuwa pia na wimbo wa kuwaambia chawa waache kutusumbua usiku tukiwa tumelala na kutulazimisha kunyolewa nywele hadi vipara.
Basi sijaziona muda sana aisee Mkuu.Hizi mbona bado zipo?
Hivi Aspro,Cofta, Andrews, Eno, Antepar (dawa) bado zipo?
Kimbo bado ipo mkuu madukani imejaa teleKimbo
Topaz
Sunvita
Komesha
Hii ipp inadunda mtaani mpaka leo!Sabuni za AYU.
Hii ipp inadunda mtaani mpaka leo!
Soda ZA POTELO, Raba za DH, Mafuta ya SHANT, BAISKEL YA SWALA.Tuwakumbushe watoto wa kizazi hiki kuhusu bidhaa na vitu mbalimbali vilivyokuwepo zamani lakini kwasasa havipo.
Naanza na Sabuni ya Mbuni…
We phala Sana!Mwendazake
Baiskeli ya swala kweli haipatikani aiseeSoda ZA POTELO, Raba za DH, Mafuta ya SHANT, BAISKEL YA SWALA.
Vuzi ikinasa kwenye nyuzi ya TMK utaomba pooChupi za VIP
Chupi za TMK
Hizi chupi kwa kaseti kula kanda zilikua hodari kwelikweli