Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,181
- 675
Kiwanda Cha kuziunga kilikuwa bongo kimekufa.Baiskeli ya swala kweli haipatikani aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiwanda Cha kuziunga kilikuwa bongo kimekufa.Baiskeli ya swala kweli haipatikani aisee
Cofta ipo saana na EnoHizi mbona bado zipo?
Hivi Aspro,Cofta, Andrews, Eno, Antepar (dawa) bado zipo?
Cha jaba majani ya chai, amani majani ya chai pia, Jambo mafuta yakujipaka, totopaki na orange zote ni pombe kali , mambwa viatu amazing sana .tanbond , kama blue band mkate wanjano haupogi tena na vingine vingi ,
Ila ubora sasa, tofautiCofta ipo saana na Eno
Aisee nimenyolewa nywele sn kwa chawaMimi huku kwetu watoto wangu hawajui chawa ni wadudu gani. Enzi zetu wadudu hawa walitutesa Sana. Tulikuwa pia na wimbo wa kuwaambia chawa waache kutusumbua usiku tukiwa tumelala na kutulazimisha kunyolewa nywele hadi vipara.
Natumia sn binzari. Siwezi kuikosa ht kwa bahati mbayaNimenda India na Lagosi nimekuta mboga zinapikwa kwa kiungo Cha binzari.Je mbona hapa bongo wamesahau hiki kiungo.Tumieni binzari kwa ubora wa ini zetu.
Na vibabale yaani hadi keroo ikianza ?? Kero kweliAisee nimenyolewa nywele sn kwa chawa
Mie nimezimiss gudguddyPipi za tofi
😅😅😅Na vibabale yaani hadi keroo ikianza je mashillingi ?? Kero kweli
Vimto bado iko nchi za Middle EastKinywaji cha Vinto.
Gazeti la Alasiri.
Sabuni ya Codray.
Chupi za VIP.(Taiwani)
Sabuni za AYU.
Kimbo ipoKimbo
Topaz
Sunvita
Komesha
Ambaye kaona tangazo la chaijaba kama bado anakaa kwao ajitafakariCha jaba majani ya chai, amani majani ya chai pia, Jambo mafuta yakujipaka, totopaki na orange zote ni pombe kali , mambwa viatu amazing sana .tanbond , kama blue band mkate wanjano haupogi tena na vingine vingi ,
Ipo kaka..maduka ya jumla jumla haya mi mazinunua sanaDuuuh siioni madukani kabisa.
Hivi tangazo la ndege ya Kilimanjaro la itv lilikuwa la mwaka gani? LodilofahKina:
Suruali kodrai
Suruali mtepeto(pana inafunika viatu)
Sabuni mshindi
Maziwa ya Cowberry
Chai Jaba
Sukari guru
Binzali/bizali(unga flan unawekwa kwenye mchuzi kwa ajili ya rangi,harufu na uzito)
Kandambili aina ya Bora
Tangazo la ndege ya Kilimanjaro (ITV)
Baiskeli aina ya swala
Jiwe la kuzungusha la kupalazia mchele wa mtama,kunde, mbaazi kwa ajili ya balaowa
Jiwe la kusagia kunde za bagia, mtama kwa ajili ya unga
Bati la kupalazia mahindi ambayo hayajakauka vzr kwa lengo la kupata unga (litimba)
Mabumunda
Kandili/chemli - Taa inayotumia mafuta ya taa na utambi maalum
Kalabai - taa inayotumia mafuta Una pump km baiskeli, inatoa mwanga mweupe
Pasi ya mkaa- jivu kuangukia ilikuwa kawaida
Mashati ya uji uji ya Bahama
Kaniki
More to come
You mean hapa tz hakuna binzari?? Mbona ipo mkuuNimenda India na Lagosi nimekuta mboga zinapikwa kwa kiungo Cha binzari.Je mbona hapa bongo wamesahau hiki kiungo.Tumieni binzari kwa ubora wa ini zetu.