David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 949
- 1,878
Nimeziuza Sana hizo utotoniHizi zipo bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeziuza Sana hizo utotoniHizi zipo bado
Hili sio la zamani sana lile tangazo la ISHI Kampeni ndio lilikua kibokoHili tangazo lilikuwa zuri sana, pia kulikuwa na tangazo la DUME kondom,
Bila kusahau michezo ya redio ya akina mzee jangala,pwagu na pwaguziHili sio la zamani sana lile tangazo la ISHI Kampeni ndio lilikua kiboko
[emoji38][emoji38][emoji38] Andrews...rivers salts! Ilikuwa hatari sana kwa kuondoa gesi tumboni.Hizi mbona bado zipo?
Hivi Aspro,Cofta, Andrews, Eno, Antepar (dawa) bado zipo?
Hio mpaka leo inarushwa TBC kipindi walichokiacha ni Club La Leo Show na kipindi Cha watoto kiliitwa Chei Chei ShangaziBila kusahau michezo ya redio ya akina mzee jangala,pwagu na pwaguzi
Umenikumbusha baiskeli ya Phoenix, mzee alikuwa nayo nakumbuka alikuwa hadi anailipia ushuru sh 200 kama sikosei.Komoa
aha dawa ya meno
Onga mchuzi mix
Baiskeli ya Phoenix ( Fonex)
Simu za Siemens, HTC, Panasonic
Umenikumbusha mbali sana aisee ilikuja na maganda yake mpyaaaabaiskeli ya Phoenix
Vitu hivi vipo vinatumika hadi sasa.-Mtungi wa maji ya kunywa
-Kibuyu cha kuhifadhi maziwa
-Chungu cha kupikia chakula,msosi
wake mtamu sana
Daaah au parikiKUBERI mnaijua nyny watoto wa hiki kizazi?
Ivi ile lotion ya tangazo la mimi naitwa jambo kubwa ipo?Tuwakumbushe watoto wa kizazi hiki kuhusu bidhaa na vitu mbalimbali vilivyokuwepo zamani lakini kwasasa havipo.
Naanza na Sabuni ya Mbuni…
Mafuta ya raysSoda ZA POTELO, Raba za DH, Mafuta ya SHANT, BAISKEL YA SWALA.
NimelogwaAmbaye kaona tangazo la chaijaba kama bado anakaa kwao ajitafakari
Je viatu vya chachaViatu vya Bata
Juisi zile za YeboYebo nmezimic snTuwakumbushe watoto wa kizazi hiki kuhusu bidhaa na vitu mbalimbali vilivyokuwepo zamani lakini kwasasa havipo.
Naanza na Sabuni ya Mbuni…
😅😅😅 alikua bidhaa maarufu sana kwenye siasaMwendazake
Kuberi harufu yake imenijia hp baada ya kiutaja tu mkuu, naikumbuka kitambo sn japo ckuiwahi itumia nilikua naona nazo wahuni tu wa Kilimanjaro wakizitumiaKUBERI mnaijua nyny watoto wa hiki kizazi?