hill and portion
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 1,236
- 744
kuna hili songi nimekumbuka
Mungu mkubwa, bwa bwabwa na samaki, ki king majuto, to tone la maji, ji jitu la kale, le lenye midevu, vu vumbua dhahabu........Nimesahau linaendeleaje
Bu bubu hasemi ?mi mimi mdogo go gogo la mti..ti tina na mjuba..ba baba mkali..li lindi wa tausi......tausi ndege wangu ndege wa fahari...... hhhaaaaaaa