Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Mi shule yetu mwl ukishika fimbo unafukuzwa kazi
Ilikiwa haruhusiwi katu kupiga mwanafunzi

Forest hill moro
Ila alikuwepo mwl mmoja hivi kiswahili anamikwara sana

Jina limenitoka
 
Kwa shule ya msingi kuna mpuuzi anaitwa lwebangila alikuwa mlimwa sm dodoma alikuwa nyoko sana
Mungu mwema alitumbuliwa baadaye watoto wakapona

Mwl tambala huyu mzee cristapen sita sita

Kuna mwingine mikocheni anaitwa
Mwl kondo

Mweeeee kabla hujachapwa fimbo ushakula mabanzi ya shingo mgongo shavuni kama 50 ndo ije fimbo katikati ya kiuno na tako
 
Kuna siku nilitoroka airport Dogo alinitafuta siku nzima shenzi type. Umemsahau mtu m-bad makusi hakuna kucheka.
Hahahahaa airport unapiga magot
Dakika 5 go back to your class

Raha sana
Wa mwaka gani wewe pale
 
Mr. Mshana Academic Master waliosoma Mbezi wanamjua huyu Mzee alikua mkali km pilipili na Mara ya mwisho naenda nilisikia alifariki kwa Kisukari, R.I.P ulale unapostahiri mwalimu
 
Mkuu Isack Malisa alikuwa mkuu shule gani? Mi nilimkuta Moshi tech. 1981 - 1984. The man was very smart. Nasikia alikuja kumuoa madam Oberlin wa biology. Waalimu wetu Hawa walitu-shape vizuri, Mungu awabariki, awarehemu waliotangulia. Kina Mpande, Nzohi, Kasenge, headmaster Malale etc.
 
Duh, was looking very young.. alituchangamsha sana hasa kutuamsha asubuhi kukimbia mchakamchaka. Kupitia Dom 1 hadi Dom 40 sio mchezo. we umemaliza pale mwaka gani
Mkuu mi ilikuwa Dom X pale Karume. Vipi we ulienda kukaanga bisi kule orchard? Misele ya dom 0 vp?
 
Ukipigwa biti na Mpande unajua kabisa leo nafukuzwa shule, kumbe biti tu.
 
Moshi Technical miaka kuanzia 2000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…