MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #241
Wewe mwaka gani?Duh, was looking very young.. alituchangamsha sana hasa kutuamsha asubuhi kukimbia mchakamchaka. Kupitia Dom 1 hadi Dom 40 sio mchezo. we umemaliza pale mwaka gani
Acha uongojamani sisi walimu wetu walikuwa wanajeshi usiombe ufundishwe na mjeshi utaimba nyimbo za kikwenu
Mzee patel tayar alifariki Onel dogo sijui yupo wapi skuzi ila shule imeuzwaMr. PATEL and Mr. Dogo, hawa ma Mafia wawili wali run Forest Hill Secondary. Waliowahi kupita pale wanawajua since 1990's
Hahahahaa airport unapiga magotKuna siku nilitoroka airport Dogo alinitafuta siku nzima shenzi type. Umemsahau mtu m-bad makusi hakuna kucheka.
Hao inabid jf waondolewe mababu sanaExtrovert unaonekana umekula chumvi
Mr. Mshana Academic Master waliosoma Mbezi wanamjua huyu Mzee alikua mkali km pilipili na Mara ya mwisho naenda nilisikia alifariki kwa Kisukari, R.I.P ulale unapostahiri mwalimuNimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Ndossi alikua balaaNdossi Assey Muhimbili na Upanga primary school.
Mkuu Isack Malisa alikuwa mkuu shule gani? Mi nilimkuta Moshi tech. 1981 - 1984. The man was very smart. Nasikia alikuja kumuoa madam Oberlin wa biology. Waalimu wetu Hawa walitu-shape vizuri, Mungu awabariki, awarehemu waliotangulia. Kina Mpande, Nzohi, Kasenge, headmaster Malale etc.Du Kumbe Yule mama alishafariki!
Mkiramweli baba sijui alikuwaga na shida gani, siku moja alitaka kunichapa kiduanzi duanzi nikakataa. Akanipeleka kwa head master Mr. Isack Malisa, mkuu aliposikia kisa chenyewe akambia nirudi zangu class! Kuanzia hapo jamaa akawa kaninunia, sijui ndo kazira………wala sikujishughulisha naye!
Huyu ni 'stone'?Mwl.Pombe
Chato Secondary
Mkuu mi ilikuwa Dom X pale Karume. Vipi we ulienda kukaanga bisi kule orchard? Misele ya dom 0 vp?Duh, was looking very young.. alituchangamsha sana hasa kutuamsha asubuhi kukimbia mchakamchaka. Kupitia Dom 1 hadi Dom 40 sio mchezo. we umemaliza pale mwaka gani
Matusi ndo usipimeNdossi alikua balaa
Duuuuu! Mtu hadi anaitwa Kichaka..Mwalimu CHARLES MALYA almaarufu kama LOBILO…LOBS…A.k.a KICHAKA…
Mwalimu wa MALEZI UMBWE HIGH SCHOOL a.k.a MTI SAFI
Ukipigwa biti na Mpande unajua kabisa leo nafukuzwa shule, kumbe biti tu.Ningeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..😄😄, mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
Vipi Mng'ong'o?Ambonisye Iyunga Tech we acheni ye hachapi ila utakachokutana nacho akikubamba
Moshi Technical miaka kuanzia 2000Mkuu Isack Malisa alikuwa mkuu shule gani? Mi nilimkuta Moshi tech. 1981 - 1984. The man was very smart. Nasikia alikuja kumuoa madam Oberlin wa biology. Waalimu wetu Hawa walitu-shape vizuri, Mungu awabariki, awarehemu waliotangulia. Kina Mpande, Nzohi, Kasenge, headmaster Malale etc.
ila Mng'ong'o alikwa mbabe hakawii tu kukubeba juujuu tuVipi Mng'ong'o?