senkoP
Senior Member
- Aug 28, 2017
- 176
- 189
Teti alikuwa nuksiDaah huyo Teti alikuwa mwamba kweli kweli!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teti alikuwa nuksiDaah huyo Teti alikuwa mwamba kweli kweli!!!
Wewe umesoma Ifunda?Ifunda kulikuwa na mwalimu mmoja ana jina la kichaga.. hakuwa mnoko sana ila ukisema umpe pocket money akuwekee ndo IMEISHA HIYO.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mwalimu Mpwayungu! Huyu alikuwa anachapa viboko kwa kutumia meno.
kufaulisha? au kuwapig viboko ?Mwalimu James okwera
Sengerema sec school 2016
Huyu jamaa alikua ni ntu ya kazi
Peke yako nimekuelewa kiongozi. Wengine wanamwaga tu lawama kwa walimu wao kama walionewa all the time.Ningeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..[emoji1][emoji1], mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
Teti ulikutana nae wapi…?Teti alikuwa nuksi