KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Hapana, Mwalimu Mpande bado you hai. Nimekutana naye kule Kongwa wakati wa msiba wa kifo cha Mama yake Mzazi.Looh! Bad news. (kama ni kweli)May his soul rip.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, Mwalimu Mpande bado you hai. Nimekutana naye kule Kongwa wakati wa msiba wa kifo cha Mama yake Mzazi.Looh! Bad news. (kama ni kweli)May his soul rip.
Ni kweli, Mpande bado you haiMalisa alikuwa headmaster Moshi Technical kuanzia 1998, alipokea usukani kutoka kwa Kimario ambaye naye alipokea kutoka kwa Malale. Ni kweli mke wake alikuwa madam Orbelin. Nzohi alikuwa Mwalimu wa physics Pugu secondary kwenye miaka ya 2000’s hivi! Kwa sasa sijui yeye yupo wapi au kama yupo hai. Mpande nimeona wadau wakisema yupo anaishi pale Moshi mjini
Nasisitiza. Mwalimu huyu bado yu hai na anaishi huko Moshi. Muombeeni maisha marefu tu.Mpande wa Moshi Tech. Ameshafariki. RiP. Alikua mwl. Mzuri sana wa michezo na aliipenda kazi yake ya ualimu na michezo
Mwalimu (Mr) Mwaipopo (Head master Iyunga Secondary class of 1985-88)Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Hicho chuma namba tano nakielewa vizuri sana, Mpande alikuwa noma kama sio fimbo ni mkono mkono mpaka kieleweke, tuliopita MTS kipindi chake tunamjua vizuriNimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Fungua PM nikuthibitishie sis 🙏🏿Wote walikua wameshazaliwa...baba yuko na mishe mishe tayari.....ila mm ndo nilikua hata kwny wazo la kuwa nitakuja duniani halikuwepo...mama alikua binti mdogo...
Mhh kama ni kweli heshima yako kaka wacha tuu nikuite tuu kaka akili yangu inakataa kabisa...
Bora wewe alifanikiwa kukushape tabia, mimi alishindwa kabisa ilikuwa vita kali sana, ila baadae nilijiona mimi ndio mjingaNingeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..[emoji1][emoji1], mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
Kuna jamaa akamwambia dogo wa form one aende kwa Mabagala akamwambie mwalimu naomba bagala moja dogo alikua hajui jina la mwalimu, Nampanda anakuambia nakupiga uende nyumbani kwenu ukamwabie dadako/mamako kwamba me ndo Nampanda hahaha yule mzaramo alikuwa na maneno sana ijumaa ikifika analeta TV dining anaonyesha movie wanafunzi mnalipiaMabagala Pugu secondary hiyo
Afu kuna mwehu alikuwa anaitwa Nampanda ana maneno balaa mswahili sana
Naogopa sitaki..tubaki hivi hivi... 😂 😂 😂 😂Fungua PM nikuthibitishie sis 🙏🏿
uli na myaka yinga shimba ya buyenze?Sir Lightfoot Stonebridge Henry
Tabora Boys mwaka 1962
Huyu mwamba ilikuwa ukifanya kosa anakupa wosia mpaka analia yaani. Tulikuwa tunaogopa kumuudhi kwa jinsi alivyokuwa anasikitika. Anakufanya ujifeel guilty na kuwa na sympathy. Ndivyo alivyofanikiwa kubadili maisha ya baadhi yetu...Psychological manipulation!
Anaishi wapi tukamsabahi?Nasisitiza. Mwalimu huyu bado yu hai na anaishi huko Moshi. Muombeeni maisha marefu tu.
Umeona eh! Sasa mitoto ya siku hizi ikiguswa tu kidogo,wazazi wanaibuka na mashoka. Ndo maana akili kisoda. Enzi hizo sasa,wambie wazazi kwamba umechapwa! Dadeki. Hapo hapo kichapo kingine kinakuhusu.Ningeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..😄😄, mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
Nalīnamyaka makūmi mpungatī ninane. Nanamhalaga nyandone! 🖐uli na myaka yinga shimba ya buyenze?
usikute umelingana na babu yangu wa 1940s
ClassmateClass 2003-2006
9. Mwalimu Kibega - Makumira secondary, Arusha.Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.