Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Malisa alikuwa headmaster Moshi Technical kuanzia 1998, alipokea usukani kutoka kwa Kimario ambaye naye alipokea kutoka kwa Malale. Ni kweli mke wake alikuwa madam Orbelin. Nzohi alikuwa Mwalimu wa physics Pugu secondary kwenye miaka ya 2000’s hivi! Kwa sasa sijui yeye yupo wapi au kama yupo hai. Mpande nimeona wadau wakisema yupo anaishi pale Moshi mjini
Ni kweli, Mpande bado you hai
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Mwalimu (Mr) Mwaipopo (Head master Iyunga Secondary class of 1985-88)

Dah huyu jamaa ni kama alikuwa anachapa Kwemye Mfupa..

NAjua kwa sasa ni vigumu kuwa Hai aisee RIP kama umetangulia kama upo Mungu akujalie Afya njema..
Nilijifunza mengi kupitia kwako.
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Hicho chuma namba tano nakielewa vizuri sana, Mpande alikuwa noma kama sio fimbo ni mkono mkono mpaka kieleweke, tuliopita MTS kipindi chake tunamjua vizuri
 
Wote walikua wameshazaliwa...baba yuko na mishe mishe tayari.....ila mm ndo nilikua hata kwny wazo la kuwa nitakuja duniani halikuwepo...mama alikua binti mdogo...
Mhh kama ni kweli heshima yako kaka wacha tuu nikuite tuu kaka akili yangu inakataa kabisa...
Fungua PM nikuthibitishie sis 🙏🏿
 
Ningeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..[emoji1][emoji1], mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
Bora wewe alifanikiwa kukushape tabia, mimi alishindwa kabisa ilikuwa vita kali sana, ila baadae nilijiona mimi ndio mjinga
 
Mabagala Pugu secondary hiyo
Afu kuna mwehu alikuwa anaitwa Nampanda ana maneno balaa mswahili sana
Kuna jamaa akamwambia dogo wa form one aende kwa Mabagala akamwambie mwalimu naomba bagala moja dogo alikua hajui jina la mwalimu, Nampanda anakuambia nakupiga uende nyumbani kwenu ukamwabie dadako/mamako kwamba me ndo Nampanda hahaha yule mzaramo alikuwa na maneno sana ijumaa ikifika analeta TV dining anaonyesha movie wanafunzi mnalipia
 
Kuna Mwl Cosmas Isaya Cosmas kutoka Malagarasi Secondary School 2010-2012. Ni balaaa, fimbo ni ngumi.
 
Sir Lightfoot Stonebridge Henry

Tabora Boys mwaka 1962


Huyu mwamba ilikuwa ukifanya kosa anakupa wosia mpaka analia yaani. Tulikuwa tunaogopa kumuudhi kwa jinsi alivyokuwa anasikitika. Anakufanya ujifeel guilty na kuwa na sympathy. Ndivyo alivyofanikiwa kubadili maisha ya baadhi yetu...Psychological manipulation!
uli na myaka yinga shimba ya buyenze?

usikute umelingana na babu yangu wa 1940s
 
Rama SB Mgallawe Matolo Sec Rombo hiyo....huyo mtu angeweza kuongoza nchi mpaka samaki wote wangetii
 
Ningeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..😄😄, mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
Umeona eh! Sasa mitoto ya siku hizi ikiguswa tu kidogo,wazazi wanaibuka na mashoka. Ndo maana akili kisoda. Enzi hizo sasa,wambie wazazi kwamba umechapwa! Dadeki. Hapo hapo kichapo kingine kinakuhusu.
 
Mwl Kanyaboya, alikuwa mwl wa Brass Band Tabora Boys miaka ya 1990. Alikuwa mlemavu wa Mguu mmoja alikuwa anatukana matusi balaa. Ila katika maswala ya muziki alikuwa mzuri sana.
 
Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;

1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
9. Mwalimu Kibega - Makumira secondary, Arusha.
10. Mwalimu Kijogoo - Makumira secondary, Arusha.
 
Back
Top Bottom