Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

Peke yako nimekuelewa kiongozi. Wengine wanamwaga tu lawama kwa walimu wao kama walionewa all the time.

Tuwe na shukrani kwani baafhi yetu bila ukali wa hao walimu tusingefika tulipofika.

Asante sana mwalimu wangu Eddy wa shule ya msingi Lifua. Sijui uliko kwa sasa. Hisabati zako zinanifanya niwe mtu mbele za watu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…