Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Taarifa zilizotoka za kuruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa hapo majuzi zinadai kuwa mikutano hiyo ilizuiwa baada ya baadhi ya wanasiasa kufanya mikutano hiyo kuwa pango la matusi,kashfa na uchochezi.
Hebu kwa uchache tukaone haadhi ya video za wanasiasa hao
Hebu kwa uchache tukaone haadhi ya video za wanasiasa hao