Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

Mi nakumbuka taarifa ya habari ikianza tu ile kusikia sauti ya mtangazaji tunaanza kukisia jina lake kabla hajajitambulisha. Yaani ilikuwa kama mchezo fulani hivi burudani tupu enzi hizo.

watoto wadogo tulikuwa tumekariri ratiba ya redio tanzania karibu ya wiki nzima!!huulizi kuwa ikitoka taarifa ya habari inakuja nini?? unajua tu ni mazungumzo baada ya habari(taarifa ya habari ya saa mbili usiku)!!maneno hayo,ilikuwa ni kabla au baada ya kipindi cha michezo,sikumbuki vizuri!!Mazungumzo baada ya habari ilikuwa ni mpaka ufikirie kidogo kwa muda ndo utaelewa anazungumza nini......................!!dah i liked those moment,we cherished
 
watoto wadogo tulikuwa tumekariri ratiba ya redio tanzania karibu ya wiki nzima!!huulizi kuwa ikitoka taarifa ya habari inakuja nini?? unajua tu ni mazungumzo baada ya habari(taarifa ya habari ya saa mbili usiku)!!maneno hayo,ilikuwa ni kabla au baada ya kipindi cha michezo,sikumbuki vizuri!!Mazungumzo baada ya habari ilikuwa ni mpaka ufikirie kidogo kwa muda ndo utaelewa anazungumza nini......................!!dah i liked those moment,we cherished

Mie wote kwenye vipindi vya Muziki alikuwa ananimaliza yule Super Tall Julius Nyaisanga alikuwa anavipanga vibao moto moto na kuwataja kwa majina Wanamuziki wote wa bendi nyingi duniani. Ilikuwa hata kwenda kucheza unaahirisha kama kuna kipindi cha Super Tall.
 
Sara Dumba, Jacob Tesha, Seleman Hega, Danstan Tido Mhando, Seleman Kumchaya, Peter Makorongo, Charles Hillary, Omary Jongo, Ahmed Jongo, Sango Kipozi, Masoud Masoud, Aloisia Isabula,Aloisia Maneno, Debora Mwenda, Mikidadi Mahamoud, Juma Nkamia, Swedi Mwinyi, Ahmed Kipozi, Dominic Chilambo, Bati Kombwa, Nadhir Mayoka, Abdallah Majura, Michael Katembo,Abisae Steven, Abdallah Mlawa,Nassoro Nsekeli,Bujaga Izengo Kadago,David Wakati,Khalid Ponera,Christina Chokunogela,Ahmed Kipozi,Siwatu Luwanda,Salim Seif Nkamba,Salama Mfamao,Bartholomew `Bati’ Kombwa
Ahmed Jongo,Dominic Chilambo,ngalieni Mpendu,Sekioni Kitojo,Chisunga Steven
Edda Sanga,Mikidadi Mahmoud,Mshindo Mkeyenge....................Wengine ongezeeni
 
Kuanzia leo jiite "kijana wa njaa ". Unamchanganya Mshindo Mkeyenge na Juma Nkamia kwenye enzi hiyo hiyo huku unamsahau Danstan Tido Mhando?! Na kumbuka kuna masahihisho mengi tu zaidi ya hayo niliyoyataja. Ungekuwa jirani....
 
Kuanzia leo jiite "kijana wa njaa ". Unamchanganya Mshindo Mkeyenge na Juma Nkamia kwenye enzi hiyo hiyo huku unamsahau Danstan Tido Mhando?! Na kumbuka kuna masahihisho mengi tu zaidi ya hayo niliyoyataja. Ungekuwa jirani....

Kaka Tido nimemtaja angalia line ya kwanza.
 
Mbona unawarudia-rudia au ni watu tofauti ila majina yanafanana!
 
Tuandikie na vipindi walivyoviongoza,mfano Debora Mwenda ~ mama na mwana[hadithi: adili na nduguze,bibi aga etc] nakumbuka zamani...
 
Mimi nilikua napenda kile kipindi cha "MAMA NA MWANA" cha Jumapili na kile cha Asubuhi cha "JAMBOOO"... RTD was so funy and lovable!
 
Tuandikie na vipindi walivyoviongoza,mfano Debora Mwenda ~ mama na mwana[hadithi: adili na nduguze,bibi aga etc] nakumbuka zamani...

Kipindi cha Mkoa kwa mkoa: Michael Katembo. Club Raha leo show: Nadhir Mayoka,.......wengine watasaidia.
 
Sara Dumba, Jacob Tesha, Seleman Hega, Danstan Tido Mhando, Seleman Kumchaya, Peter Makorongo, Charles Hillary, Omary Jongo, Ahmed Jongo, Sango Kipozi, Masoud Masoud, Aloisia Isabula,Aloisia Maneno, Debora Mwenda, Mikidadi Mahamoud, Juma Nkamia, Swedi Mwinyi, Ahmed Kipozi, Dominic Chilambo, Bati Kombwa, Nadhir Mayoka, Abdallah Majura, Michael Katembo,Abisae Steven, Abdallah Mlawa,Nassoro Nsekeli,Bujaga Izengo Kadago,David Wakati,Khalid Ponera,Christina Chokunogela,Ahmed Kipozi,Siwatu Luwanda,Salim Seif Nkamba,Salama Mfamao,Bartholomew `Bati’ KombwaAhmed Jongo,Dominic Chilambo,ngalieni Mpendu,Sekioni Kitojo,Chisunga StevenEdda Sanga,Mikidadi Mahmoud,Mshindo Mkeyenge....................Wengine ongezeeni
Angalieni Mpendu alikuwa ni fundi mitambo au mtangazaji?
 
Sara Dumba, Jacob Tesha, Seleman Hega, Danstan Tido Mhando, Seleman Kumchaya, Peter Makorongo, Charles Hillary, Omary Jongo, Ahmed Jongo, Sango Kipozi, Masoud Masoud, Aloisia Isabula,Aloisia Maneno, Debora Mwenda, Mikidadi Mahamoud, Juma Nkamia, Swedi Mwinyi, Ahmed Kipozi, Dominic Chilambo, Bati Kombwa, Nadhir Mayoka, Abdallah Majura, Michael Katembo,Abisae Steven, Abdallah Mlawa,Nassoro Nsekeli,Bujaga Izengo Kadago,David Wakati,Khalid Ponera,Christina Chokunogela,Ahmed Kipozi,Siwatu Luwanda,Salim Seif Nkamba,Salama Mfamao,Bartholomew `Bati' Kombwa
Ahmed Jongo,Dominic Chilambo,ngalieni Mpendu,Sekioni Kitojo,Chisunga Steven
Edda Sanga,Mikidadi Mahmoud,Mshindo Mkeyenge....................Wengine ongezeeni

Na miss Dominic Chilambo wa kanda ya ziwa. Alikuwa akikutajia line up ya wana TP Lindanda Kirumba unajiskia kama umeshafungwa vile. Halafu kuna Uncle J Nyaisanga, simwoni kwenye list. Kile kipindi chake cha muziki usiku (Disco Show?). Anakuambia leo nimekuandalia vibao ywa kukutoa soksi na na viatu kubakia pale pale. Pia kuna akina Mohamed Kadilu na Bakari Msulwa (mrindimo). Na huyu mama ya Tamwa hujamweka. Pia alikuwepo mwamama mmoja alikuwa anatangaza kipindi cha Kodi na Mapato. Sijui kama hiki kipindi bado kipo.
 
...Usihadaike na rangi, utamu wa chai ni sukari, nikiripoti kutoka Zanzibar, Mimi ni Yusuph Omari Chunda, Majira Radio Tanzania Dar es salaam
 
Tufurahi jama tufurahi wiki endie.................................................. Baba naomba ruhusa niende wiki endi niende nikafurahi na wana milimanieee. Asante sana mwanangu kwa ombi lako siku kwa siku za wiki endi ni siku ya furaha mwanangu.

Uwiii inanikumbusha mambali kweli.
 
na kile kipindi kutoka hospitalini alikuwaanaongoza nani vile?
 
Sara Dumba, Jacob Tesha, Seleman Hega, Danstan Tido Mhando, Seleman Kumchaya, Peter Makorongo, Charles Hillary, Omary Jongo, Ahmed Jongo, Sango Kipozi, Masoud Masoud, Aloisia Isabula,Aloisia Maneno, Debora Mwenda, Mikidadi Mahamoud, Juma Nkamia, Swedi Mwinyi, Ahmed Kipozi, Dominic Chilambo, Bati Kombwa, Nadhir Mayoka, Abdallah Majura, Michael Katembo,Abisae Steven, Abdallah Mlawa,Nassoro Nsekeli,Bujaga Izengo Kadago,David Wakati,Khalid Ponera,Christina Chokunogela,Ahmed Kipozi,Siwatu Luwanda,Salim Seif Nkamba,Salama Mfamao,Bartholomew `Bati’ KombwaAhmed Jongo,Dominic Chilambo,ngalieni Mpendu,Sekioni Kitojo,Chisunga StevenEdda Sanga,Mikidadi Mahmoud,Mshindo Mkeyenge....................Wengine ongezeeni
Naona umemsahau EZEKIEL MALONGO. Alikuwa akitangaza mpira na J.NKAMIA MZEE WA MAGUU 12!! Yaan utataman mpira uchezwe siku nzima!
 
kipindi cha wakati wa kazi, Misakato na Uncle J Nyaisanga, Nyimbo asilia na mkoa kwa mkoa na Michael Katembo, Mikidadi Mahmoud na Jongo na kipindi cha mikingamo, Nipe Habari na David Wakati.
 
Back
Top Bottom